World cup star Mohammed Salah's injury is God's punishment for breaking Ramadan fast, claims Kuwaiti Preacher

World cup star Mohammed Salah's injury is God's punishment for breaking Ramadan fast, claims Kuwaiti Preacher

Ila Mo sala alipokuwa anahojiwa alisema kuwa hatovunja funga yake.
Kwa hio alifunga kama kawaida.
Sasa huyo mkuwait kajuaje kuwa jamaa hajafunga?
 
so sikuile ilikua vita ya nabii na mtume...

CHRIST....VS ......MOH..
 
Ila Mo sala alipokuwa anahojiwa alisema kuwa hatovunja funga yake.
Kwa hio alifunga kama kawaida.
Sasa huyo mkuwait kajuaje kuwa jamaa hajafunga?

hajufunga mku, madokta wa Liverpool walithibitisha kama hatofunga. na si siku ya mechi tu pamoja na siku 2 nyuma.

Nikweli mwanzo alikua na msimamo huo lakini Walimpressure sana mpaka akaachia.
 
Nimeanza kuhisi huyu mo sala upande wa waislam wanamsifia kidin zaidi kuliko kimichezo coz ukichunguza utaona kila muislam anavyomjadili utashangaa ni kidin zaidi kuna watu mfano madem walikuwaga hawaujui mpira eti now wanajiita livapu team salaa na ukiwachunguza ni waislam najiuliza hivi akipotea nao mpira wataususaa??!
Acha wivu mkuu. Kwamba Salah anasifiwa na waislam tuu? Mashabiki wa Liverpool na wapenda soka wote ni waislam? Hii akili uliyotumia kuandika comment kama hii ni uharo mtupu.

Chuki binafsi za kimanchester united hizo zimekujaa. Mo Salah tunampenda hata sisi wapagani. Acha wivu wa kike
 
Nimefuatilia post humu yani Udini udini tu..salah anachukiwa sababu ni mwarabu/muislamu.
Huo ni mtazamo wako wa kijinga na nobody hate him sababu ya dini na anayefanya hvyo ni mbumbumbu na kwa mwanamichezo yeyote mwenye utimamu awezi weka udini katika michezo..
 
Kati ya hizo, 2 alitakiwa azitekeleze kwa muda huo/siku hiyo.

Moja ameshaitekeleza, zilizobaki utekelezaji wake haukuhitajika siku hiyo.
Shutuma za kibinadamu kwann? Zimekazania kwenye nguzo hii zaidi ya zingine.?
 
Shutuma za kibinadamu kwann?
Huwezi kujua yaliyomo mioyoni mwa watu
Zimekazania kwenye nguzo hii zaidi ya zingine.?
Kwa sababu hii inatakiwa itekeleze kwa sasa, japo na swala nayo inatakiwa itekelezwe lakini haijakazaniwa kama hii.

Mimi binafsi siwezi kumhukumu maana huo sio wajibu wangu wala wajibu wa binadamu yeyote, nawashangaa hawa wanaoleta hukumu juu ya hili jambo ilihali hawana uwezo huo
 
View attachment 790366
Muslim preacher in Kuwait has said that Egyptian soccer star Mohammed Salah’s injury in the Champions League final on Saturday was a divine punishment.

Posting on social media, Mubarak al-Bathali said that Salah, who plays for the United Kingdom's Liverpool Football Club, was injured as a punishment from God for breaking his Ramadan fast early. Although Al-Bathali said Salah is religiously permitted to break his fast due to travel, doing so for the game was a sin.

At the same time, the preacher praised Salah for being an ambassador for Islam in the West, saying he hopes he will learn from God's lesson, Al Arabiya reported.

"The player Mohammed Salah decided to play for Liverpool, as he said so, God punished him ... No thoughtful man thinks, especially not a Muslim, that life is managed by reason and effort, but life in the hand of God comes to whom he wants, whether he strives hard or not... May God guide you, Muhammad Salah, and perhaps it is good for you in all aspects of life..."

The star athlete was injured just 31 minutes into the championship game. In a collision with rival Spanish player Sergio Ramos, from opposing Real Madrid, Salah dislocated his shoulder sidelining him for the remainder of the game.

On social media, many fans seemed to disagree with the preacher's judgment.

Upuuzi mwingine wa Dini,yaani huyo shekh anataka kutuaminisha kwamba mwiislam pekee ambaye alikuwa hafungi ni huyo Mchezaji mpira,?
 
Huko aliko atakua anatoa chafya sana, sio kwa kutajwa-tajwa tena!
 
Acha wivu mkuu. Kwamba Salah anasifiwa na waislam tuu? Mashabiki wa Liverpool na wapenda soka wote ni waislam? Hii akili uliyotumia kuandika comment kama hii ni uharo mtupu.

Chuki binafsi za kimanchester united hizo zimekujaa. Mo Salah tunampenda hata sisi wapagani. Acha wivu wa kike
hivi umeielewa hiyo message au unalopoka tuu kweli vilaza hawaishi kila leo
 
Huyu Mungu anayemuadhibu mtu kisa kala huyo ni shetani tu.
 
Nashukuru Mungu, Mwafrika mwenzetu baada ya few weeks atakuwa katika hali nzuri kabisa, Mungu zibariki egypt and morocco..aaameena.
 
huyu mungu ambaye anatoa adhabu kwa kula ni kilaza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wabillahi tawfiq
 
Back
Top Bottom