World food index - 2019 - maajabu - Kenya/Tanzania

Anything to make you sleep boy!
 
Because you are subsistence farmers, peasant farmers. Everyone is a peasant farmer. Your society is not advanced enough, as a nation develops fewer people engage in Farming.
Provided we are either peasant or subsitance farmer chakula mnakipata Tanzania . so far mko rank ya juu maana mnanunua kwetu mnachanganya na kwenu. sisi hatununui kwenu chakula
 
Global Hunger Index haitumii GDP wala pesa za watu walizonazo mfukoni kama vigezo vya kupima njaa,



The GHI combines 4 component indicators:
1) the proportion of the undernourished as a percentage of the population;
2) the proportion of children under the age of five suffering from wasting, a sign of acute undernutrition;
3) the proportion of children under the age of five suffering from stunting, a sign of chronic undernutrition; and
4) the mortality rate of children under the age of five .


Kama kweli 75% ya watanzania ni wakulima basi hamfai kua na % kubwa ya watu ambao hawana afya (undernourished) ambayo sababu yake kuu ni ukosefu wa chakula ndo hufanya mtu awe hivyo.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…