World leaders attend the 76th U.N. General Assembly

World leaders attend the 76th U.N. General Assembly

MWALLA

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2006
Posts
16,952
Reaction score
10,500
VIKAO vimeanza tuwasikilize viongozi wetu wataongea nini cha muhimu

 
Viongozi wengi hawajahudhuria wanahudhuria kupitia mtandao

Rais wa Brazil anahutubia hana barakoa wala hajachanja
 
we mama hebu tulia tusikilize wanaume wa shoka huko... mambo yako ya jikoni peleka lumumba
nakuhifazi baadae nitakukumbusha ulisema nini halafu wenye hasira huwaga ni wanawake wakituona wanaume tuna cha ziada
 
Tunasubiri hotuba ya Madame President,Amiri mkuu wa majeshi yote, chifu Mkuu wa Tz, Mama yetu Samia Suluh.
 
hapo ndiyo angekuwepo mbowe ndiyo kaenda hapoyaani angekuwa anatoamacho kama mjusi kabanwa na mlango
mbona unajisahaulisha dadangu? ulitakiwa useme hapo angekuwa MEKO sijui ingekuwaje na kile kiswanglish chake ... ''pipo uzi tu dai ini dhe.. ini dhe... dhe.. REEEKI''
 
Back
Top Bottom