Wosia mzito wa William Malecela (Le Mutuz) kwa CCM, Wapinzani, Serikali na kwa JamiiForums uzingatiwe na kutekelezwa ili tuendelee kumuishi

Wosia mzito wa William Malecela (Le Mutuz) kwa CCM, Wapinzani, Serikali na kwa JamiiForums uzingatiwe na kutekelezwa ili tuendelee kumuishi

Kweli nimeamini usemi usemao "ishi maisha yako, kuhusu sifa nzuri ni kwa ajili ya marehemu"...........lemutuz aliyekuwa anakataliwa hadi na watoto saivi ndo anamwagiwa sifa na kina Pascal Mayalla 😩😩😩
 
For a long time, I have heard this name of Lemutuz, but I knew it was just another scumbag in town with money. It was only until he died the other day that I found out that he was Malecela's first child.

I have thoroughly read your article, but I am just sad for many basic reasons.
Si naskia malecelas walikuwa hawamtambulishi kiviiile kwenye familia
 
.... who is William Malecella hadi aachie watu wosia? Usia most likely ameachia familia yake and that's all!
Alikuwa na familia gani sijui watoto alizaa akawatupa wapi huko akaacha wazungu wanamlelea ye akabaki anakula bata na wabebez full vurugu na mange kimambi hadi anafikwa umauti jamani ila apumzike kwa amani huyo baba na utu uzima alikuwa anagombana na vitoto mitandaoni tu
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.
View attachment 2629490View attachment 2629492
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, likifuatiwa na hoja, kisha jibu utalitoa wewe mwenyewe.

Swali la mada hii ni Je

Wosia mzito wa William Malecela (Le Mutuz) kwa CCM, Wapinzani, Serikali na kwa JamiiForums uzingatiwe na kutekelezwa ili tuendelee kumuishi, au baada ya kufa,anakuwa ndio mwisho wake na kila kitu chake?.​


Wiki iliyopita kwenye safu hii niliandika Buriani ya Benard Membe, na Wiki hii ni Buriani nyingine, hii ni buriani ya mtu wa kawaida tuu ambaye sio kiongozi wa CCM, wala sio kiongozi wa serikali, ni mtu tuu wa kawaida aliyefahamika na wengi, hivyo maneno ya mtu wa wengi ni maneno ya wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hii ni makala ya kuitaka CCM, serikali, wapinzani kuzingatia sana wosia wa mtu huyu!.

Huyu ni William Malecela, ambaye anajulikana sana kwa jina maarufu la Le Mutuz, kutokana na kuendesha ukurasa wake wa Le Mutuz Super Brand kwenye mitandao ya kijamii, hivyo kuna wengi wanaomfahamu zaidi William kutokana na umaarufu wake wa kwenye mitandao ya kijamii kama Le Mutuz, hivyo sifa zake kama William Malecela, kujikuta zimeishia Jamiiforums pekee. William Malecela alifariki ghafla wiki iyopita na kuzikwa kijijini kwao Mvumi Dodoma siku ya Jumatano iliyopita.

Wosia.
Wosia ni maneno ya mwisho ya marehemu anayoyaacha kuzungumzia jambo fulani, wosia huo unaweza kuwa wa maneno ya kuambiwa au kuandikwa. Wosia huu wa William Malecela kwa CCM serikali, ni wosia wa maneno ya kuzungumza, ambapo aliyasema bila kupanga, ni tulikutana tuu viwanja vya Saba Saba, nikamfanyia mahojiano impromptu, na kwavile sasa tuko kwenye dunia ya kimtandao, wosia huu nimeurekodi kwenye video na kuutupia kwenye mtandao wa YouTube, baada ya kupokea taarifa ya kifo chake, nilipoyasikiliza tena "Mahojioano William Malecela na Pasco Mayalla" ndio sasa nimegundua kumbe huu ni wosia anaihusia serikali, CCM, na wapinzani.

Poleni Sana Wafiwa Wakiongozwa na The Malecelas.
Kunapotokea msiba wowote, wafiwa wakuu wa kwanza ni familia yake, hivyo kwanza nitoe pole zangu kwa familia yake, mkewe na watoto wake, pole kwa familia ya Mzee John Samwel Malecela, pole kwa familia yake ya JF, pole kwa wanamitandao kumpoteza mwanamtandao mwenzao, pole kwa CCM kumpoteza mwanachama wake ambaye ni mmoja wa wana CCM Wazalendo na wakweli kabisa toka ndani ya nafsi zao, na pole kwa Watanzania wote kumpoteza Mtanzania mwenzetu, haijalishi alikuwa nani, thamani ya mtu ni utu, hivyo binadamu yoyote akitangulia pole ni stahiki.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, hivyo sasa nakuja kwenye mastori story ya Pasco, kama wewe sio mtu wa mastori story, jump to conclusions.

Mastori ya Pasco, Mimi na Malecelas

William Malecela, A Man With A Heart of Gold

Kuna watu wengi ni watu wenye roho mbaya, akiona kuna mchongo fulani, hakupi connection, William alikuwa ni mtu mwenye roho nzuri. Ni William Malecela, Le Mutuz ndie aliyenitambulisha mimi kwenye mtandao wa YouTube channel, na video yangu ya kwanza kwenye YouTube ni video ya mahojioano na William Malecela ambayo video hii ndio usia ambao William Malecela ametuachia milele, nataka wana CCM wote haswa viongozi, watu wa serikali na sisi wana jf, tusikilize kwa makini wosia huu na ikiwezeka tuuishi.

William Malecela Kada Mtiifu na Mkweli Daima wa CCM, at Heat!, He Was Born and Breed CCM!, Amekufa CCM!
Chama cha Mapinduzi CCM, kina taratibu zake za ukosoaji kufanywa na wanachama wake, kinataka ukosoaji wowote wa CCM, ukifanywa na mwana CCM, ukosoaji huo ufanyike kwenye vikao vya ndani. William alikuwa hakopeshi!.

William Malecela Aliipenda CCM na Kuitetea CCM, Lakini Hakuwa Chawa!
Siku hizi kupitia mitandao ya kijamii, kumeibuka vikundi vya kusifia wakiijiita machawa. William Malecela ni mwana CCM, aliyeipenda CCM kwa dhati ya moyo wake na kiitetea CCM kwa nguvu zake zote ila hakuwa chawa kwasababu pia aliikosoa CCM, wazi wazi na sio kupitia vikao vya ndani.

Ni katika mahojiano haya William Malecela alitoa usia mzito kwa Chama chake CCM, na serikali yake, kwa wapinzani na kwa wana JF. Je William Malecela alitoa wosia gani kwa serikali, CCM, wapinzani na kwa Jf?.

Kwa wenye uwezo to listen in between the words, karibu hapa


Kwa wasio na uwezo to read in between the lines and to listen in between the words, juma lijalo nitawamegea wosia huu tits and bits nitawatafunia, nyie kazi yenu itabakia ni kumeza tuu!.

Wasalaam
Paskali

Aliniudhi alipokubali kuwa CHAWA wa Makonda na kisha gari yake aina ya Noah kutumika na kikundi cha WASIOJULIKANA katika operesheni za kuteka watu. Mmojawapo aliyetekwa na gari la Lemutuz ni RomaMkatoliki
 
Si naskia malecelas walikuwa hawamtambulishi kiviiile kwenye familia
Moja ya vitu vimenihuzunisha sana ni jinsi gani Watanzania wengi kwa sasa wanaochukulia Unafiki ni ajira. Nasikia kuna mtu kwenye msiba wa huyu mwamba huko kwa Malecela alizimiwa MIC just because, alikua anongea UKWELI, halafu kuna group la wanafiki wanasema eti walimmind kwanini aliongea vile kwakua anamchoresha Malecela kuwa alikua hamtake-kei mwanae.
1684783713153.png
 

Attachments

  • 1684783709060.png
    1684783709060.png
    25.8 KB · Views: 10
Moja ya vitu vimenihuzunisha sana ni jinsi gani Watanzania wengi kwa sasa wanaochukulia Unafiki ni ajira. Nasikia kuna mtu kwenye msiba wa huyu mwamba huko kwa Malecela alizimiwa MIC just because, alikua anongea UKWELI, halafu kuna group la wanafiki wanasema eti walimmind kwanini aliongea vile kwakua anamchoresha Malecela kuwa alikua hamtake-kei mwanae.
View attachment 2631739
Simjui vizuri saaana marehemu ila aliishi maisha ya kipumbavu kwa umri aliokuwa nao sijui ni baba gani angekuwa proud na huyo kijana wake 😆😆😆😆😆 malecela aliwai kutambulisha familia lakini lemutuz hakuwemooooo na ndo kijana mkubwa wa ujanani wa mzee malecela sasa wanaficha nini eti kwamba "merehemu hasemwi vibaya" ?
 
Simjui vizuri saaana marehemu ila aliishi maisha ya kipumbavu kwa umri aliokuwa nao sijui ni baba gani angekuwa proud na huyo kijana wake 😆😆😆😆😆 malecela aliwai kutambulisha familia lakini lemutuz hakuwemooooo na ndo kijana mkubwa wa ujanani wa mzee malecela sasa wanaficha nini eti kwamba "merehemu hasemwi vibaya" ?

marehemu ila aliishi maisha ya kipumbavu kwa umri aliokuwa nao sijui ni baba gani angekuwa proud na huyo kijana wake 😆😆😆😆😆
"aliishi maisha ya kipumbavu kwa umri aliokuwa nao"

Hicho ulichoandika "conclusion" hapo juu, kinaitwa: end result, consequence, ama outcome.

mara nyingi watu wengi huwa wanareact, kuhitimisha or kuhukumu toka kwa hizi vitu: (end result, consequence, outcome) lakini ni wachache sana huenda mbali na kuangalia CHAIN OF CAUSATION iliyo sababisha hali kuwa hivyo ilivyo, then kutoa hukumu, itimisho.

malecela aliwai kutambulisha familia lakini lemutuz hakuwemooooo

Malecela ndio chanzo cha matatizo yote ya yule kijana, na kijificha miaka yote hii ni ushahidi tosha ya uongozi wa aina gani tuliokuwa nao Tanzania. Uongozi usiopenda kuwa accountable, kuwajibika. Hata kukiri kuwa amekosea ni kuwajibika pia.

Hawawezi kuwajibika hata kwa watoto walio wazaa, je Watawajibikaje kikamilifu kwa Watanzania?
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.
View attachment 2629490View attachment 2629492
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, likifuatiwa na hoja, kisha jibu utalitoa wewe mwenyewe.

Swali la mada hii ni Je

Wosia mzito wa William Malecela (Le Mutuz) kwa CCM, Wapinzani, Serikali na kwa JamiiForums uzingatiwe na kutekelezwa ili tuendelee kumuishi, au baada ya kufa,anakuwa ndio mwisho wake na kila kitu chake?.​


Wiki iliyopita kwenye safu hii niliandika Buriani ya Benard Membe, na Wiki hii ni Buriani nyingine, hii ni buriani ya mtu wa kawaida tuu ambaye sio kiongozi wa CCM, wala sio kiongozi wa serikali, ni mtu tuu wa kawaida aliyefahamika na wengi, hivyo maneno ya mtu wa wengi ni maneno ya wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hii ni makala ya kuitaka CCM, serikali, wapinzani kuzingatia sana wosia wa mtu huyu!.

Huyu ni William Malecela, ambaye anajulikana sana kwa jina maarufu la Le Mutuz, kutokana na kuendesha ukurasa wake wa Le Mutuz Super Brand kwenye mitandao ya kijamii, hivyo kuna wengi wanaomfahamu zaidi William kutokana na umaarufu wake wa kwenye mitandao ya kijamii kama Le Mutuz, hivyo sifa zake kama William Malecela, kujikuta zimeishia Jamiiforums pekee. William Malecela alifariki ghafla wiki iyopita na kuzikwa kijijini kwao Mvumi Dodoma siku ya Jumatano iliyopita.

Wosia.
Wosia ni maneno ya mwisho ya marehemu anayoyaacha kuzungumzia jambo fulani, wosia huo unaweza kuwa wa maneno ya kuambiwa au kuandikwa. Wosia huu wa William Malecela kwa CCM serikali, ni wosia wa maneno ya kuzungumza, ambapo aliyasema bila kupanga, ni tulikutana tuu viwanja vya Saba Saba, nikamfanyia mahojiano impromptu, na kwavile sasa tuko kwenye dunia ya kimtandao, wosia huu nimeurekodi kwenye video na kuutupia kwenye mtandao wa YouTube, baada ya kupokea taarifa ya kifo chake, nilipoyasikiliza tena "Mahojioano William Malecela na Pasco Mayalla" ndio sasa nimegundua kumbe huu ni wosia anaihusia serikali, CCM, na wapinzani.

Poleni Sana Wafiwa Wakiongozwa na The Malecelas.
Kunapotokea msiba wowote, wafiwa wakuu wa kwanza ni familia yake, hivyo kwanza nitoe pole zangu kwa familia yake, mkewe na watoto wake, pole kwa familia ya Mzee John Samwel Malecela, pole kwa familia yake ya JF, pole kwa wanamitandao kumpoteza mwanamtandao mwenzao, pole kwa CCM kumpoteza mwanachama wake ambaye ni mmoja wa wana CCM Wazalendo na wakweli kabisa toka ndani ya nafsi zao, na pole kwa Watanzania wote kumpoteza Mtanzania mwenzetu, haijalishi alikuwa nani, thamani ya mtu ni utu, hivyo binadamu yoyote akitangulia pole ni stahiki.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, hivyo sasa nakuja kwenye mastori story ya Pasco, kama wewe sio mtu wa mastori story, jump to conclusions.

Mastori ya Pasco, Mimi na Malecelas

William Malecela, A Man With A Heart of Gold

Kuna watu wengi ni watu wenye roho mbaya, akiona kuna mchongo fulani, hakupi connection, William alikuwa ni mtu mwenye roho nzuri. Ni William Malecela, Le Mutuz ndie aliyenitambulisha mimi kwenye mtandao wa YouTube channel, na video yangu ya kwanza kwenye YouTube ni video ya mahojioano na William Malecela ambayo video hii ndio usia ambao William Malecela ametuachia milele, nataka wana CCM wote haswa viongozi, watu wa serikali na sisi wana jf, tusikilize kwa makini wosia huu na ikiwezeka tuuishi.

William Malecela Kada Mtiifu na Mkweli Daima wa CCM, at Heat!, He Was Born and Breed CCM!, Amekufa CCM!
Chama cha Mapinduzi CCM, kina taratibu zake za ukosoaji kufanywa na wanachama wake, kinataka ukosoaji wowote wa CCM, ukifanywa na mwana CCM, ukosoaji huo ufanyike kwenye vikao vya ndani. William alikuwa hakopeshi!.

William Malecela Aliipenda CCM na Kuitetea CCM, Lakini Hakuwa Chawa!
Siku hizi kupitia mitandao ya kijamii, kumeibuka vikundi vya kusifia wakiijiita machawa. William Malecela ni mwana CCM, aliyeipenda CCM kwa dhati ya moyo wake na kiitetea CCM kwa nguvu zake zote ila hakuwa chawa kwasababu pia aliikosoa CCM, wazi wazi na sio kupitia vikao vya ndani.

Ni katika mahojiano haya William Malecela alitoa usia mzito kwa Chama chake CCM, na serikali yake, kwa wapinzani na kwa wana JF. Je William Malecela alitoa wosia gani kwa serikali, CCM, wapinzani na kwa Jf?.

Kwa wenye uwezo to listen in between the words, karibu hapa


Kwa wasio na uwezo to read in between the lines and to listen in between the words, juma lijalo nitawamegea wosia huu tits and bits nitawatafunia, nyie kazi yenu itabakia ni kumeza tuu!.

Wasalaam
Paskali

Mayalaaa maana yake njaa # mwendazake
 
Hivi Mkuu Paschal Huwezi kuandika kisw.bila kuchanganya na kiingereza ...?huo ni ushamba na Kwa hadhi Yako inakushushia thamani...kama ukiandika Kiingereza andika chooooote acha kuchanganya changanya
..wasomi Kina profesa Janabi hawachanganyi kabisa lugha isipokuwa paliposhindikanika....
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.
View attachment 2629490View attachment 2629492
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, likifuatiwa na hoja, kisha jibu utalitoa wewe mwenyewe.

Swali la mada hii ni Je

Wosia mzito wa William Malecela (Le Mutuz) kwa CCM, Wapinzani, Serikali na kwa JamiiForums uzingatiwe na kutekelezwa ili tuendelee kumuishi, au baada ya kufa,anakuwa ndio mwisho wake na kila kitu chake?.​


Wiki iliyopita kwenye safu hii niliandika Buriani ya Benard Membe, na Wiki hii ni Buriani nyingine, hii ni buriani ya mtu wa kawaida tuu ambaye sio kiongozi wa CCM, wala sio kiongozi wa serikali, ni mtu tuu wa kawaida aliyefahamika na wengi, hivyo maneno ya mtu wa wengi ni maneno ya wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, hii ni makala ya kuitaka CCM, serikali, wapinzani kuzingatia sana wosia wa mtu huyu!.

Huyu ni William Malecela, ambaye anajulikana sana kwa jina maarufu la Le Mutuz, kutokana na kuendesha ukurasa wake wa Le Mutuz Super Brand kwenye mitandao ya kijamii, hivyo kuna wengi wanaomfahamu zaidi William kutokana na umaarufu wake wa kwenye mitandao ya kijamii kama Le Mutuz, hivyo sifa zake kama William Malecela, kujikuta zimeishia Jamiiforums pekee. William Malecela alifariki ghafla wiki iyopita na kuzikwa kijijini kwao Mvumi Dodoma siku ya Jumatano iliyopita.

Wosia.
Wosia ni maneno ya mwisho ya marehemu anayoyaacha kuzungumzia jambo fulani, wosia huo unaweza kuwa wa maneno ya kuambiwa au kuandikwa. Wosia huu wa William Malecela kwa CCM serikali, ni wosia wa maneno ya kuzungumza, ambapo aliyasema bila kupanga, ni tulikutana tuu viwanja vya Saba Saba, nikamfanyia mahojiano impromptu, na kwavile sasa tuko kwenye dunia ya kimtandao, wosia huu nimeurekodi kwenye video na kuutupia kwenye mtandao wa YouTube, baada ya kupokea taarifa ya kifo chake, nilipoyasikiliza tena "Mahojioano William Malecela na Pasco Mayalla" ndio sasa nimegundua kumbe huu ni wosia anaihusia serikali, CCM, na wapinzani.

Poleni Sana Wafiwa Wakiongozwa na The Malecelas.
Kunapotokea msiba wowote, wafiwa wakuu wa kwanza ni familia yake, hivyo kwanza nitoe pole zangu kwa familia yake, mkewe na watoto wake, pole kwa familia ya Mzee John Samwel Malecela, pole kwa familia yake ya JF, pole kwa wanamitandao kumpoteza mwanamtandao mwenzao, pole kwa CCM kumpoteza mwanachama wake ambaye ni mmoja wa wana CCM Wazalendo na wakweli kabisa toka ndani ya nafsi zao, na pole kwa Watanzania wote kumpoteza Mtanzania mwenzetu, haijalishi alikuwa nani, thamani ya mtu ni utu, hivyo binadamu yoyote akitangulia pole ni stahiki.

Mimi ni mtu wa mastori mastori, hivyo sasa nakuja kwenye mastori story ya Pasco, kama wewe sio mtu wa mastori story, jump to conclusions.

Mastori ya Pasco, Mimi na Malecelas

William Malecela, A Man With A Heart of Gold

Kuna watu wengi ni watu wenye roho mbaya, akiona kuna mchongo fulani, hakupi connection, William alikuwa ni mtu mwenye roho nzuri. Ni William Malecela, Le Mutuz ndie aliyenitambulisha mimi kwenye mtandao wa YouTube channel, na video yangu ya kwanza kwenye YouTube ni video ya mahojioano na William Malecela ambayo video hii ndio usia ambao William Malecela ametuachia milele, nataka wana CCM wote haswa viongozi, watu wa serikali na sisi wana jf, tusikilize kwa makini wosia huu na ikiwezeka tuuishi.

William Malecela Kada Mtiifu na Mkweli Daima wa CCM, at Heat!, He Was Born and Breed CCM!, Amekufa CCM!
Chama cha Mapinduzi CCM, kina taratibu zake za ukosoaji kufanywa na wanachama wake, kinataka ukosoaji wowote wa CCM, ukifanywa na mwana CCM, ukosoaji huo ufanyike kwenye vikao vya ndani. William alikuwa hakopeshi!.

William Malecela Aliipenda CCM na Kuitetea CCM, Lakini Hakuwa Chawa!
Siku hizi kupitia mitandao ya kijamii, kumeibuka vikundi vya kusifia wakiijiita machawa. William Malecela ni mwana CCM, aliyeipenda CCM kwa dhati ya moyo wake na kiitetea CCM kwa nguvu zake zote ila hakuwa chawa kwasababu pia aliikosoa CCM, wazi wazi na sio kupitia vikao vya ndani.

Ni katika mahojiano haya William Malecela alitoa usia mzito kwa Chama chake CCM, na serikali yake, kwa wapinzani na kwa wana JF. Je William Malecela alitoa wosia gani kwa serikali, CCM, wapinzani na kwa Jf?.

Kwa wenye uwezo to listen in between the words, karibu hapa


Kwa wasio na uwezo to read in between the lines and to listen in between the words, juma lijalo nitawamegea wosia huu tits and bits nitawatafunia, nyie kazi yenu itabakia ni kumeza tuu!.

Wasalaam
Paskali

Paskali salama ya CCM nikukubali kuishi kama Kanisa Katoliki lilivyoishi na Galileo kwa kuimpose silent in obedience kwa Galileo, kuiacha public isisikie kama Kanisa Katoliki limekubaliana na Galileo lakini wakaishia kuona taratibu kanisa Katoliki likiishi maono ya Galileo
 
Back
Top Bottom