Wosia: Nikifa mke wangu asiolewe

Atagongwaaaaaaaa alafu mwisho ataolewa tu, Kwa sababu hakuna namna.
 
UMEMZAA WEWE........?
 
Da!... Mkuu umechukua kabila gani huyo viuno feni na sis tuelekee huko tutoe wosia mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]makabila yetu ya pwani haya,
Mtu mzima kubebwa mgongoni.. Alaf kirahis rahis tu nikubali mke wangu aolewe eti kisa nimekufa...

Daadeki lazima ntakutokea usingizini tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]makabila yetu ya pwani haya,
Mtu mzima kubebwa mgongoni.. Alaf kirahis rahis tu nikubali mke wangu aolewe eti kisa nimekufa...

Daadeki lazima ntakutokea usingizini tu
Da! kweli mkuu maligo anayo kupigaga alafu mapigo hayo akampigie mshkaji mwingine we ukiwa umedead du! inauma sana
 
Lazima nimlambe hata ndotoni..
Lakini si unajua Mla mla leo, Mla jana kala nini? na Alae kwa Upanga nae Ataliwa. Je na wewe Uko teyari Kulambwa na Mashetani Kwakua tuu Ulimlamba mtu Ndotoni?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…