Wosia: Nikifa mke wangu asiolewe

Wosia: Nikifa mke wangu asiolewe

Mmmmhhhh...Una Mke mzuri [emoji23][emoji15] si yule Dada anayefanya kazi pale hospitali ya kijiji cha chalinze...maji ya kunde hivi, sio mnene na ni mchangamfu sana.! Mbona tunamchukua kungali hujapotea Mkuu...Time will tell
 
Mkuu;
Yaan nakuhurumia sana. Angalia sana mkeo asije kuuona wosia wako huu wa kijinga kabisa. Pili; Elewa kwamba hata sasa hivi kama ni muajiriwa, anagongwaga mara nyingi tu. Anapo hudhuria semina za kwenda kwa siku 4 jua zote hizo ni kuujaribu mtarimbo mpyaaa. Ile kitu akikaa masaa 2 tu inakuwaga kavuuu. Biblia inasema, ni kama kula nyama ya wizi na kuufuta mdomo. Tatu; Elewa kuwa, ni mila zetu sisi waafrika kuwa; Shemeji, aliwe na yule mrithi wako tena ikiwezekana kama ana hishima ni siku ya pili ya kufa kwako. Huwa inaitwa, Kumtia nguvu shemeji.
 
Hello wana chit chat..!

Weekend iliyoisha ilikua nzuri sana kwangu, nilispend kuanzia ijumaa mpaka leo j3 bado nipo mapumziko btw kazini naingia kesho.

Katika spend hizo nilikua nipo na mke wangu kipenzi anayefanya ya kazi ya afya katika kijiji kimoja cha wilaya ya chalinze..

Kiukwel kwa mambo ya mke wangu naomba niandike wosia wangu.

Leo hii tarehe 13/02/2017
Mimi Multiphill90, nikiwa na akili zangu nimeandika wosia ufuatao.

Kwa vitu vya mke wangu kipenzi, kuanzia jikoni, kitandani, kimaendeleo kiukwel nathubutu kusema nikifa mke wangu asiolewe wala asitoe papuchi.

Nawazia vile viuno, ucheshi wake, huduma zake, duuh (alaf kirahis tu mke wangu aolewe/agongwe na jitu jingine...aaah wapi)

Hatua za maendeleo tulizopiga, jinsi alivyo mpambanaji , wallah siwez kukubali mke wangu aolewe/agongwe mie nikifa.

Kama ni mali nyie chukueni, kila kitu chukueni ila hata nikifa mke wangu asiolewe/asigongwe...


Wenu
Multiphill90
Kuna daladala imeandikwa hivyo,inafanya route ya Temeke-Tabata
 
Labda utangazwe umekufa kwa Ukimwi.
Hata hivyo wabishi watampima tu. Hakuna jinsi.
[emoji23][emoji23][emoji23]duuh. Umetisha aisee.

Mi nadhan solution ni kuweka wosia na tego tu... Hivi ile mitafrija ninayopata alaf mtu kijinga jinga aoe aje ale papuchi kwangu...
 
Lakini si unajua Mla mla leo, Mla jana kala nini? na Alae kwa Upanga nae Ataliwa. Je na wewe Uko teyari Kulambwa na Mashetani Kwakua tuu Ulimlamba mtu Ndotoni?😀😀😀😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi mwenyewe shetani..
 
Mkuu;
Yaan nakuhurumia sana. Angalia sana mkeo asije kuuona wosia wako huu wa kijinga kabisa. Pili; Elewa kwamba hata sasa hivi kama ni muajiriwa, anagongwaga mara nyingi tu. Anapo hudhuria semina za kwenda kwa siku 4 jua zote hizo ni kuujaribu mtarimbo mpyaaa. Ile kitu akikaa masaa 2 tu inakuwaga kavuuu. Biblia inasema, ni kama kula nyama ya wizi na kuufuta mdomo. Tatu; Elewa kuwa, ni mila zetu sisi waafrika kuwa; Shemeji, aliwe na yule mrithi wako tena ikiwezekana kama ana hishima ni siku ya pili ya kufa kwako. Huwa inaitwa, Kumtia nguvu shemeji.
[emoji3][emoji3]sawa kabisa, hajawah kwenda semina za siku kulala huko hata siku moja btw namuamin wala siishi kwa wasi wasi hata kidogo...

Ila linapokuja suala la mke wangu kuolewa eti kisa nimekufa aiseee , haap ndio wosia wangu utakapooneakana wa muhimu, na yy mwenyewe nishamwambia
 
Hello wana chit chat..!

Weekend iliyoisha ilikua nzuri sana kwangu, nilispend kuanzia ijumaa mpaka leo j3 bado nipo mapumziko btw kazini naingia kesho.

Katika spend hizo nilikua nipo na mke wangu kipenzi anayefanya ya kazi ya afya katika kijiji kimoja cha wilaya ya chalinze..

Kiukwel kwa mambo ya mke wangu naomba niandike wosia wangu.

Leo hii tarehe 13/02/2017
Mimi Multiphill90, nikiwa na akili zangu nimeandika wosia ufuatao.

Kwa vitu vya mke wangu kipenzi, kuanzia jikoni, kitandani, kimaendeleo kiukwel nathubutu kusema nikifa mke wangu asiolewe wala asitoe papuchi.

Nawazia vile viuno, ucheshi wake, huduma zake, duuh (alaf kirahis tu mke wangu aolewe/agongwe na jitu jingine...aaah wapi)

Hatua za maendeleo tulizopiga, jinsi alivyo mpambanaji , wallah siwez kukubali mke wangu aolewe/agongwe mie nikifa.

Kama ni mali nyie chukueni, kila kitu chukueni ila hata nikifa mke wangu asiolewe/asigongwe...


Wenu
Multiphill90
hapo tu upo hai unachapiwa....siku ukifa watu wanafanya sherehe...shubaaamit!!!
 
Back
Top Bottom