passion and power
Senior Member
- Feb 13, 2017
- 102
- 78
Wako akiwa kwakoAah mi hata iweje aisee, siwez kukubali mke wangu aolewe, ..
Kuna daladala imeandikwa hivyo,inafanya route ya Temeke-TabataHello wana chit chat..!
Weekend iliyoisha ilikua nzuri sana kwangu, nilispend kuanzia ijumaa mpaka leo j3 bado nipo mapumziko btw kazini naingia kesho.
Katika spend hizo nilikua nipo na mke wangu kipenzi anayefanya ya kazi ya afya katika kijiji kimoja cha wilaya ya chalinze..
Kiukwel kwa mambo ya mke wangu naomba niandike wosia wangu.
Leo hii tarehe 13/02/2017
Mimi Multiphill90, nikiwa na akili zangu nimeandika wosia ufuatao.
Kwa vitu vya mke wangu kipenzi, kuanzia jikoni, kitandani, kimaendeleo kiukwel nathubutu kusema nikifa mke wangu asiolewe wala asitoe papuchi.
Nawazia vile viuno, ucheshi wake, huduma zake, duuh (alaf kirahis tu mke wangu aolewe/agongwe na jitu jingine...aaah wapi)
Hatua za maendeleo tulizopiga, jinsi alivyo mpambanaji , wallah siwez kukubali mke wangu aolewe/agongwe mie nikifa.
Kama ni mali nyie chukueni, kila kitu chukueni ila hata nikifa mke wangu asiolewe/asigongwe...
Wenu
Multiphill90
[emoji23][emoji23][emoji23]duuh. Umetisha aisee.Labda utangazwe umekufa kwa Ukimwi.
Hata hivyo wabishi watampima tu. Hakuna jinsi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi mwenyewe shetani..Lakini si unajua Mla mla leo, Mla jana kala nini? na Alae kwa Upanga nae Ataliwa. Je na wewe Uko teyari Kulambwa na Mashetani Kwakua tuu Ulimlamba mtu Ndotoni?😀😀😀😀😀😀
Ha ha ha, we sikia unaweza ukafukua kaburi aisee, tena usiombe vile wadau wanasema huwa roho ina randaranda ndo unakuta yupo na lijomba..Kuna daladala imeandikwa hivyo,inafanya route ya Temeke-Tabata
[emoji3][emoji3]sawa kabisa, hajawah kwenda semina za siku kulala huko hata siku moja btw namuamin wala siishi kwa wasi wasi hata kidogo...Mkuu;
Yaan nakuhurumia sana. Angalia sana mkeo asije kuuona wosia wako huu wa kijinga kabisa. Pili; Elewa kwamba hata sasa hivi kama ni muajiriwa, anagongwaga mara nyingi tu. Anapo hudhuria semina za kwenda kwa siku 4 jua zote hizo ni kuujaribu mtarimbo mpyaaa. Ile kitu akikaa masaa 2 tu inakuwaga kavuuu. Biblia inasema, ni kama kula nyama ya wizi na kuufuta mdomo. Tatu; Elewa kuwa, ni mila zetu sisi waafrika kuwa; Shemeji, aliwe na yule mrithi wako tena ikiwezekana kama ana hishima ni siku ya pili ya kufa kwako. Huwa inaitwa, Kumtia nguvu shemeji.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]duuuh. Haina mbaya lakini linapokuja suala la kuolewa/kugongwa kinyume na wosia wangu, lazima nimrape mtu ndotoniPapuchi inaliwa ukiwa hai.... Sembuse umekufa??...
Acha aolewe, sasa yeye si anastahili kupata HUDUMA ZA KINDOA?Ha ha ha, we sikia unaweza ukafukua kaburi aisee, tena usiombe vile wadau wanasema huwa roho ina randaranda ndo unakuta yupo na lijomba..
hapo tu upo hai unachapiwa....siku ukifa watu wanafanya sherehe...shubaaamit!!!Hello wana chit chat..!
Weekend iliyoisha ilikua nzuri sana kwangu, nilispend kuanzia ijumaa mpaka leo j3 bado nipo mapumziko btw kazini naingia kesho.
Katika spend hizo nilikua nipo na mke wangu kipenzi anayefanya ya kazi ya afya katika kijiji kimoja cha wilaya ya chalinze..
Kiukwel kwa mambo ya mke wangu naomba niandike wosia wangu.
Leo hii tarehe 13/02/2017
Mimi Multiphill90, nikiwa na akili zangu nimeandika wosia ufuatao.
Kwa vitu vya mke wangu kipenzi, kuanzia jikoni, kitandani, kimaendeleo kiukwel nathubutu kusema nikifa mke wangu asiolewe wala asitoe papuchi.
Nawazia vile viuno, ucheshi wake, huduma zake, duuh (alaf kirahis tu mke wangu aolewe/agongwe na jitu jingine...aaah wapi)
Hatua za maendeleo tulizopiga, jinsi alivyo mpambanaji , wallah siwez kukubali mke wangu aolewe/agongwe mie nikifa.
Kama ni mali nyie chukueni, kila kitu chukueni ila hata nikifa mke wangu asiolewe/asigongwe...
Wenu
Multiphill90
Hata kama ni za mgando ila wosia wangu uheshimiwe kwa kweli..Akili zako mgando kweli
Kama ataandika wosia wake basi nitauheshimu. Ila kama kasepa kimya kimya, aaaah nyama napiga kama kawa.Kwa mfano akatangulia yeye?
Eeenh tena nyie ndio nawataka,Hamna mtu anayeoa mjane sasa hivi tunamkaza tu
Hiv hujawah kuona au kusikia mtu amefariki ila anarud ku claim kilicho chake,Akiolewa utarudi kutibua?