Wosia: Nikifa mke wangu asiolewe

hapo tu upo hai unachapiwa....siku ukifa watu wanafanya sherehe...shubaaamit!!!
Aaah waendelee kuchapa tu, ila nilioandika ndio wosia wangu baada ya kifo. Sasa atayekaidi agizo hilo basi ujue yupo matatani[emoji6][emoji6]
 
Omba tu yy atangulie
Maana ukitangulia

Ww ndo bhas tena
 
sasa unatangaza sifa zake si wataanzana naye kabla hujafa!
 
Je akianza kufa mkeo na ww usiowe wala kuwa na mahusiano na mwanamke mwingine?

Alafu huo wosia wako hauna mashiko mahali popote na haukubaliki kisheria,

Usikute muda huu hujafa ana kamchepuko kake hukoooo kanamfunua malinda je ukifa?,leta sela mbadala hapa kuhusu korona nk sio nikiwa mke wangu asiolewe hayo sio mawazo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…