DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ndio zipi hizo phase mkuu.....?
Alafu mkuu ile hali inapokuja sio kwamba unakua timamu aisee
Sawa mkuu nipo hapaYes mkuu
Sema unakuwa una-count phase
1
2
3
Sasa MTU anaweza kuwa anaogopa kuteseka kwakuwa hajawahi kuteseka so hiyo kwake inakuwa ni phase 2 of life akiishinda phase 2 anaingia phase 3
Ntarudi ....
Wapendwa,
Ninajua kwamba maneno haya yanaweza kuwa magumu kusoma, lakini naomba myakubali kama sehemu ya safari yangu. Nimejaribu kwa muda mrefu kupambana na mawimbi ya huzuni na maumivu ambayo yamekuwa yakinizonga. Nimepata wakati mgumu sana kuelezea hisia zangu, na hata sasa, si rahisi.
Nawapenda nyote kwa dhati, na ninaomba msichukulie hatua yangu kama ishara ya udhaifu au kutojali. Ni ngumu kuelezea jinsi gani nimejaribu, lakini naomba mjue kuwa ninyi nyote mmekuwa nuru katika giza langu. Nimekuwa na matumaini kuwa siku moja mambo yatakuwa bora, lakini nimefikia mwisho wa nguvu zangu.
Nawashukuru kwa upendo, msaada, na furaha mlizonipa. Tafadhali kumbukeni nyakati nzuri na msimamo wangu wa mapenzi kwenu. Nawaomba msihisi lawama yoyote, kwa sababu hamna kosa. Maumivu yangu yamekuwa mzigo wangu wa kibinafsi, na nimefanya maamuzi haya baada ya kufikiria sana.
Mods na members wote muwe na amani, na mnaweza kujua kwamba sasa nimepata utulivu huko ninakokwenda.
Kwa upendo wa milele,
-February Marope.
CcDuh, hold on ndugu Kuna kesho.
JF mmeshindwa kuwa na ka-min department cha psychiatrist?
Mtu yeyote ambaye anaact extremely weird humu ni alert, anayetishia kudhuru/kujidhuru anahitaji msaada, tuache kupotezea now probably a soul is lost.
Kwani kulikuwa na ulazima wa kuja kuandika humu? Anaejiua hajitangaziWapendwa,
Ninajua kwamba maneno haya yanaweza kuwa magumu kusoma, lakini naomba myakubali kama sehemu ya safari yangu. Nimejaribu kwa muda mrefu kupambana na mawimbi ya huzuni na maumivu ambayo yamekuwa yakinizonga. Nimepata wakati mgumu sana kuelezea hisia zangu, na hata sasa, si rahisi.
Nawapenda nyote kwa dhati, na ninaomba msichukulie hatua yangu kama ishara ya udhaifu au kutojali. Ni ngumu kuelezea jinsi gani nimejaribu, lakini naomba mjue kuwa ninyi nyote mmekuwa nuru katika giza langu. Nimekuwa na matumaini kuwa siku moja mambo yatakuwa bora, lakini nimefikia mwisho wa nguvu zangu.
Nawashukuru kwa upendo, msaada, na furaha mlizonipa. Tafadhali kumbukeni nyakati nzuri na msimamo wangu wa mapenzi kwenu. Nawaomba msihisi lawama yoyote, kwa sababu hamna kosa. Maumivu yangu yamekuwa mzigo wangu wa kibinafsi, na nimefanya maamuzi haya baada ya kufikiria sana.
Mods na members wote muwe na amani, na mnaweza kujua kwamba sasa nimepata utulivu huko ninakokwenda.
Kwa upendo wa milele,
-February Marope.
Kaka utu uzima kazi sanaHii ishu naamimi seriously wakuu nakumbuka hata mimi nilipitia haya mambo aiseeee
Naelewa unachopitia kwasababu namimi kwa nyakati na visa vyangu niliteseka na kufikia hatua ya kutaka kujitoa uhai lakini niliongea na wadau na marafiki nawashukuru sana walinisaidia mpka saii nipo sawa. Unanafasi ya kuendelea kuish ndugu yangu talk to pple you trust watakusaidia utakaa sawaWapendwa,
Ninajua kwamba maneno haya yanaweza kuwa magumu kusoma, lakini naomba myakubali kama sehemu ya safari yangu. Nimejaribu kwa muda mrefu kupambana na mawimbi ya huzuni na maumivu ambayo yamekuwa yakinizonga. Nimepata wakati mgumu sana kuelezea hisia zangu, na hata sasa, si rahisi.
Nawapenda nyote kwa dhati, na ninaomba msichukulie hatua yangu kama ishara ya udhaifu au kutojali. Ni ngumu kuelezea jinsi gani nimejaribu, lakini naomba mjue kuwa ninyi nyote mmekuwa nuru katika giza langu. Nimekuwa na matumaini kuwa siku moja mambo yatakuwa bora, lakini nimefikia mwisho wa nguvu zangu.
Nawashukuru kwa upendo, msaada, na furaha mlizonipa. Tafadhali kumbukeni nyakati nzuri na msimamo wangu wa mapenzi kwenu. Nawaomba msihisi lawama yoyote, kwa sababu hamna kosa. Maumivu yangu yamekuwa mzigo wangu wa kibinafsi, na nimefanya maamuzi haya baada ya kufikiria sana.
Mods na members wote muwe na amani, na mnaweza kujua kwamba sasa nimepata utulivu huko ninakokwenda.
Kwa upendo wa milele,
-February Marope.