Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
SahihiUtopolo mtupu
Akili za mwanautopolo huwa hazijifichi kama alivyowahi kusema Haji Manara .Kwa mfano Simba na Yanga Oktoba
saba apige MORRISON, nane ZAWADI MAUYA, tisa FEITOTO, kumi MAYELE, kumi na moja AZIZ KII
WOOOTE hawa WAMEIFUNGA SIMBA kwa nyakati tofauti
atafika October?Nadhani Zoran atasusia mechi[emoji23][emoji23][emoji23]
MAKOLO unateseka ukiwa wapi?Utopolo mtupu
MAKOLO[emoji23][emoji23][emoji23]Ushatoa hela ya mganga kwa ajili ya mechi ijayo ya simba au unazurura huku halafu mkija kufungwa mumlaumu karia maana ndio moja ya mikakati ya yanga msimu huu.