Wote waliofurahia vifo vya mashujaa wa Afrika hawajawahi kufa bila fedheha

Wote waliofurahia vifo vya mashujaa wa Afrika hawajawahi kufa bila fedheha

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Wako wapi waliofurahia kifo cha Samora Machel akina Peter W Botha? Walikufa kwa fedheha.

Waliomuua Patrice Lumumba na wakafurahi akina Mobutu Sese Seko

Waliomuua Thomas Sankara na kufurahia walishakufa kwa fedheha.

Na hata waliofurahia kifo cha shujaa wa Tanzania watakufa kwa fedheha
 
Back
Top Bottom