Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uungwana ni vitendo , Tunawajua wote mliotoa lugha chafu baada ya Shaffih Dauda ( Mzee wa under dog ) kuanika ukweli wa Mgogoro wa Simba , Kabla sijawataja majina yenu mnatakiwa kumuomba radhi haraka sana .
Shaffih kama mwandishi wa habari za michezo anayo haki ya kuripoti taarifa yoyote ya kweli hata kama inaumiza , huo ndio uanamichezo , mpaka dk hii taarifa ile bado imesimama wima mno! hakuna uongo wala uzushi wowote ule .
Shaffih kama mwandishi wa habari za michezo anayo haki ya kuripoti taarifa yoyote ya kweli hata kama inaumiza , huo ndio uanamichezo , mpaka dk hii taarifa ile bado imesimama wima mno! hakuna uongo wala uzushi wowote ule .