Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasitutishe tena😂😂😂😂[emoji848][emoji144][emoji848][emoji144][emoji120][emoji144][emoji848]View attachment 1329027
Jr[emoji769]
Haya majira unayotumia ni ya gamboshi?Sasa hivi ni saa 7: 26 usiku wa January 2020
Jr[emoji769]
Ata wao wanaogopa kufa mzee*Hivi hawa wakina Mwamposa wapo kweli? Mbona wakati huu tunahitaji sana miujiza yao kakini wamekuwa kimya wanasubiri wamama wenye matatizo ya ndoa, wasiopata watoto, wenye waume walevi, wasomi wanaotafuta ajira nk. Yale mafuta yao hayasaidii kuepuka Corona?[emoji30][emoji30][emoji30]*
Jr[emoji769]
Hujapata Taarifa wanasema kwamba Ile sehemu wengi tunaenda kupunguza stress, tukizuiwa kwenda tutakufa kuliko inavyoua Covid-19.
Viroba vilipigwa marufuku. Bumunda
Sent using Jamii Forums mobile app