We mzee
Ndio mida yetu hii ya kutenda miugizaHulali?
Wengi wana husika hapa msinipige mawe hamjuii nami niko wapi hapo.[emoji419][emoji375][emoji1787]Haiwezekani uko kitandani na BEBI wako halafu umuache tu alale wee uko busy na mtandao.
Wengi wana husika hapa ��������������������������msinipige mawe hamjuii nami niko wapi hapo.
Uncle samahanii naitaji kuja inbox tuongee naitaji msaada wako
Karibu bila shakaUncle samahanii naitaji kuja inbox tuongee naitaji msaada wako