Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haina gharama na muda ni mfupi sana kufika utakako, tena hakuna usumbufu wa kupitia taratibu za visa, kukaguliwa mwili wote na hofu ya ajali
Wanaopaa huwa wakipata ajali zinakuwa za aibu...shurti wakutwe uchi uchi
Mshana jr we endelea tu kukwepa gharama kwa kupaa...
Nadhani itakuwa imekusaidia kufika nchi nyingi na si kufika tu bali na kuishi huko kihalali
Hodiii wenyewewe!!
Kuna baridi inayovutia usingizi Kwa wale WALIO SUBSCRIBED
Leo kunanihusu hapa
Asante mpendwa za masika?
...fanya kuusukuma tu mlango
WaKti ndio huu asiye na blanket akumbatie mito, asiye na bundle acheze game, asiye na umeme akapige chabo