Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

Sijaona ambacho anakifanya leo hii Christiano Ronaldo na hakikufanywa na Fundi Lionel Messi miaka miwili mitatu nyuma. Halafu nimegundua kuwa wale wote ambao kutwa wanamshabikia na kumfagilia Christiano Ronaldo ni Washamba wakubwa, wageni wa masuala ya Mpira na watupu mno Kiuchambuzi na Kiutaalam wa masuala ya mpira.

Acheni ushamba tafadhali Christiano Ronaldo bado sana kwa Lionel Messi.

Nawasilisha.

acha ushabiki maandazi ronaldo mkali wa soka hata messi kampigia saluti
 
We kumbe ni wa ajabu kweli, unajua vizuri players waliopita au unasema tu. Kuna wachezaji wengi tu waliopita wamemzidi huyo Messi. Mtu hata kombe la Dunia hajawahi beba, halafu utamweka kundi moja na Pele, Maradona, del Pierro, Ronaldo de Lima na wengineo?

Hakuna hapo aliemkaribia messi. Labda maradona akifuatiwa na pele kwa mbali,,, huyo de lima level moja na wakina Aguero,suarez,dinho,iniesta nk.
 
Huu ni ukweli mchungu.

Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani, lkn Messi ni kiumbe ambaye amewahi kuugusa mpira kwa nanma ambayo hakuna kiumbe chochote duniani kinachoweza kufikia japo robo ya umahiri wake. Itamchukua Mungu miaka mingi sana kumuumba Messi mwingine.
Hakuna anaeweza kumfikia ata robo messi? Ushabiki mwengine bana..... Kuna kiumbe kimoja hakitoki kabisa katika ulimwengu huu, jina lake ni Ronaldinho, LEGEND, huyu mpira ukimuona tu basi unajicontrol wenyewe. Messi ndio nani? Atoke barcelona tumuone! aende uingereza au italy au german. Dinho hajapata mpinzani bado. Media tu ndio zimempamba
 
Kwani Yesu alikuwa wa sayari hii? [emoji3] Mbona alichonga fanicha za sayari hii, akala msosi wa sayari hii na mwisho wayahudi wa sayari hii wakamtandika fimbo za sayari hii.. Wakamchoma mikuki ya sayari hii.. Ee? [emoji3]
Duuuuh we jamaa bana! Umenichekesha ulivyocomment..hata hiyo comment siyo ya sayari hii
 
Hakuna anaeweza kumfikia ata robo messi? Ushabiki mwengine bana..... Kuna kiumbe kimoja hakitoki kabisa katika ulimwengu huu, jina lake ni Ronaldinho, LEGEND, huyu mpira ukimuona tu basi unajicontrol wenyewe. Messi ndio nani? Atoke barcelona tumuone! aende uingereza au italy au german. Dinho hajapata mpinzani bado. Media tu ndio zimempamba
Muache mtakatifu dinho..muache kama alivyo yule jamaa hasa anapokutana na mpira.. mpira wenyewe hujikuta mahali salama ukiwa kwenye miguu yake. Nahitimisha Muacheni dinho msimfananishe na bianamu yyt kuhusu mpira
 
CR7 is a complete player. Anatumia miguu yote miwili kwa umahili mkubwa, ana kasi, anafunga magoli ya vichwa, penalty, adhabu ndogo na ana uchu wa ushindi. Sifa hizi Messi pia anazo ila ana upungufu mmoja hawezi kutumia mguu wa kuume kwa umahili.
Zamani nilijuaga mtu mwenye kichwa kikubwa ndo mwenye akili na mara nyingi ningeliona wanasoma masomo ya science lakini ni tofauti nkawa naona ndo washika mikia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa wewe hoja yako iko wapi ingali wote wanacheza uwanjani! Leta hoja hapa izo ni weak points
 
Zamani nilijuaga mtu mwenye kichwa kikubwa ndo mwenye akili na mara nyingi ningeliona wanasoma masomo ya science lakini ni tofauti nkawa naona ndo washika mikia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa wewe hoja yako iko wapi ingali wote wanacheza uwanjani! Leta hoja hapa izo ni weak points


Kwahyo una maana mimi nina kichwa kikubwa au maana sijakuelewa mkuu. Halafu hizi comment unazotoa mbona za hasira sana. Huna sababu ya kutoa kashfa humu jamvini unapoteza muda tu. Relax na ufurahie maisha.
 
Zinedine Zidane Manager / Kocha wa Real Madrid anamjua vizuri na tena zaidi yako Wewe POPOMA wa Christiano Ronaldo. Acheni kumpamba Christiano Ronaldo wakati ni mchezaji wa kawaida mno ambaye hata Mohamed Ibrahim au Shiza Kichuya wa Simba SC wanaweza wakamfikia na hata kumzidi sema tu bahati mbaya wapo Madongo Kuinama huku Afrika na bado hawajawa tu exposed kama Yeye.

Lionel Messi ndiyo habari ya mjini na ndiyo maana hata Manguli / Legends wenyewe Pele na Maradona wameshakiri kuwa Messi siyo wa Sayari hii tunayoishi sisi Mangumbaru / Hopeless.
Wanaempamba wengi ni Wa ManUtd
 
Sijaona ambacho anakifanya leo hii Christiano Ronaldo na hakikufanywa na Fundi Lionel Messi miaka miwili mitatu nyuma. Halafu nimegundua kuwa wale wote ambao kutwa wanamshabikia na kumfagilia Christiano Ronaldo ni Washamba wakubwa, wageni wa masuala ya Mpira na watupu mno Kiuchambuzi na Kiutaalam wa masuala ya mpira.

Acheni ushamba tafadhali Christiano Ronaldo bado sana kwa Lionel Messi.

Nawasilisha.
Leo uko hoi na Liver yako dhidi ya King Messi
 
Back
Top Bottom