Would you consider naming your kids after a place?

Would you consider naming your kids after a place?

Itakuwa umesoma vibaya , Karma ni ke

Oh she is Ke?

Yani humu ndani watu kwa kujipa majina ya ajabu, tunapata wakati mgumu kujua yupi ni me au ke

Hahaha I misunderstood kwa kweli, I never had any idea karma could be ke
 
Kweli ni la kizalendo, kuliko kuwapa majina kama Dakota, Paris, London, Brooklyn etc ni uzalendo kama muafrika kuwapa majina ya kiafrika

Gambino, haha very inyeresting
Unamjua gambino? Is it bad yeye kuwa ndo my role model?
 
Oh she is Ke?

Yani humu ndani watu kwa kujipa majina ya ajabu, tunapata wakati mgumu kujua yupi ni me au ke

Hahaha I misunderstood kwa kweli, I never had any idea karma could be ke
Ndo hivyo ni ke
Unaweka Id ya namna hiyo ili kuepuka usumbufu au ni kupenda tu jina hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They are unique kongole mwana

Dont name a girl ocean or wind tho

Kuna sister wangu kamwita wanae Adventure, nimeukubali mtazamo wako
Wind na Ocean yanafaa kuwa ya kike zaidi kuliko Mountain. Japo Ocean linaweza kuwa la kiume pia.
 
Unamjua gambino? Is it bad yeye kuwa ndo my role model?
The one from America, au kuna Gambino mwingine unayemsema wewe
Its bad if he is the one from America

Ningependa kujua kitu gani kimekuvutia hasa mpaka awe role model wako?

Lazima kuna kitu kakuvutia if someone comes and claim Pablo Escobar ni role model wake definitely I will wonder in which way
 
The one from America, au kuna Gambino mwingine unayemsema wewe
Its bad if he is the one from America

Ningependa kujua kitu gani kimekuvutia hasa mpaka awe role model wako?
He was a mastermind of which I aspire to be
 
He was a mastermind of which I aspire to be

Ndugu yangu unanifurahisha sana

Let it be clear, you are not thinking in crime mind or?
Usije uka fall in life of crimes

The true crime masterminds are the ones in Wall street my friend
 
I never thought it that way
Guys bother girls here so much?
if they know yo are ke, they will bother you or something?
Sijui kwa watu wengine ila iko hivyo
Sio bothering tuseme let's say ur pm itakuwa loaded na messages
 
Sijui kwa watu wengine ila iko hivyo
Sio bothering tuseme let's say ur pm itakuwa loaded na messages

That makes me look back, since I have been here haki ya Mungu hakuna hata mtu aliyewahi kunicheki PM
Wana jamii forums you are way rude to me

What do they text you in PM, haha somebody curious about woman period or
Ila nimegundua magonjwa ya zinaa hayawezi isha, mie ni mtu wa tofauti sana. I cant go seduce a girl I don't know and I cant sleep with someone who I haven't connected with. Mie muongeaji huku online in real life am not a talkative as such, may be wengi tu unaona online hawawezi kukusumbua in real life ila wanataka tu wakusumbue online


If you were a guy you would do the same thing
 
That makes me look back, since I have been here haki ya Mungu hakuna hata mtu aliyewahi kunicheki PM
Wana jamii forums you are way rood to me

What do they text you in PM, haha somebody curious about woman period or
Ila nimegundua magonjwa ya zinaa hayawezi isha, mie ni mtu wa tofauti sana. I cant go seduce a girl I don't know and I cant sleep with someone who I haven't connected with. Mie muongeaji huku online in real life am not a talkative as such, may be wengi tu unaona online hawawezi kukusumbua in real life ila wanataka tu wakusumbue online


If you were a guy you would do the same thing
Hahah very smooth man Im watching you.
PS🙁I know your other ID is ZeroIQ but I wont tell her)
 
Gambino a criminal mastermind,,they couldn't catch for a long time
Gambino seriously dah aisee hebu niulize what inspire you so much about him nambie kimoja tu
You have to be like a lion and a fox. The fox is smart enough to recognize traps, and the lion is strong enough to scare away the wolves. Be like a lion and a fox, and no one will ever beat you.-Gambino
 
Hahah very smooth man Im watching you.
PS🙁I know your other ID is ZeroIQ but I wont tell her)

Sadly I onld have one ID here, I joned 2016 coz I was looking for Santuri, ukiangalia uzi wa santuri hata number yangu ya simu utaiona. Sina sababu ya kuwa na nyuzi mbili hapa au kuficha my identity

But I wonder why you would compare me to zero IQ i need to read his threads, So I differentiate my self from him. Thank you. .
 
That makes me look back, since I have been here haki ya Mungu hakuna hata mtu aliyewahi kunicheki PM
Wana jamii forums you are way rood to me

What do they text you in PM, haha somebody curious about woman period or
Ila nimegundua magonjwa ya zinaa hayawezi isha, mie ni mtu wa tofauti sana. I cant go seduce a girl I don't know and I cant sleep with someone who I haven't connected with. Mie muongeaji huku online in real life am not a talkative as such, may be wengi tu unaona online hawawezi kukusumbua in real life ila wanataka tu wakusumbue online


If you were a guy you would do the same thing
Watu wako tofauti humu , wengine wanataka kuwa na urafiki , wengine wanakuja na kuondoka , na hao wanaotongoza .
Nasikia watu wameoana humu
Wengine they do it for fun na Kuna watu wazuri kweli humu .
[QUOTE="Gily, post: 34572432,
 
Gambino a criminal mastermind,,they couldn't catch for a long timeYou have to be like a lion and a fox. The fox is smart enough to recognize traps, and the lion is strong enough to scare away the wolves. Be like a lion and a fox, and no one will ever beat you.-Gambino

Nimemjua Gambino kutoka kwa rafiki yangu, alikuwa ananisimulia sana kuhusu huyu jamaa
Ila nimesubiri hata movie yake waitoe ila sijaipata
Wakitoa nambie nimcheki vizuri, napenda sana when stories are put in a movie or a series
 
Back
Top Bottom