WOW!! TTCL they made it

WOW!! TTCL they made it

think pad...

labda ni umaskini wangu lakini sometime back nilikuwa na USB moja ya zantel nilikuwa nikiweka buku kumi (pre-paid) nasafu siku moja inakata..nikapoteza hata hicho kinasa intanet chao...hizo unazo ongea weye zipo kwa pre-paid? mi nataka kwa matumizi ya home tuuu onePC...
 
Nakushauri uwaone CCTV yaani very cheap akija Sunctus atathibitisha mm nalipia $ 70 for 6GB kwa miezi 3.

...Fidel, CCTV? Closed Circuit Television ama China Central Television? Please fafanua.🙂
 
Ni kweli Zantel ni Wazuri, gharama zao ni nafuu na speed yao ni supper ila coverage bana aagh, nilikwa Njombe nikakosa coverage sasa nimeona ninunue na moderm ya Voda ili nikiwa pembezoni mwa mji naitumia ila kwa Town Zantel is Superb
 
Hiyo Zantel labda ni super kwa habari ya mobility. Vinginevyo mnatia chumvi.

Mimi mteja wa TTCL, broadband fixed line kwa nyumbani. Halafu kutoka hapo nimeweka wireless kwa kutumia D-link router. Yeyote ndani ya nyumba anafurahia huduma. Speed yao ni nzuri; inaniwezesha kuangalia video bila mizengwe, iwe CNN, DW, na mipira tele kutoka dunia nzima, nk.

Gharama zao ni affordable. Na ni kampuni yetu ya kizalendo.
 
Hiyo Zantel labda ni super kwa habari ya mobility. Vinginevyo mnatia chumvi.

Mimi mteja wa TTCL, broadband fixed line kwa nyumbani. Halafu kutoka hapo nimeweka wireless kwa kutumia D-link router. Yeyote ndani ya nyumba anafurahia huduma. Speed yao ni nzuri; inaniwezesha kuangalia video bila mizengwe, iwe CNN, DW, na mipira tele kutoka dunia nzima, nk.

Gharama zao ni affordable. Na ni kampuni yetu ya kizalendo.

Bravo brother, this is what I know, the only probe of this ISP is the coverage considering that the network is physical hence geographical bounderies is a factor, otherwise the choice is far better comparing to many.
 
Jamani naomba msaada. Najaribu kutumia simu yangu Nokia kama modem kupata internet kupitia Zantel lakini hai-connect. Nime-download Nokia PC Suite na kwenye configuration nimeweka "znet"

Please help.
 
Shukrani kwa kutuhabarisha Think,hata mimi natumia Zantel kwa speed hawana mpinzani,kwa hilo Zantel ni nambari wani,
ThinkPad vipi uko mjini hapa Dar au uko mkoa ,kila la heri

Mimi nipo Kanda ya Ziwa yaani huku ni balaa nimei hook kwenye ka access point yaani ni full wireless na lan kwakwenda mbele.
 
think pad...

labda ni umaskini wangu lakini sometime back nilikuwa na USB moja ya zantel nilikuwa nikiweka buku kumi (pre-paid) nasafu siku moja inakata..nikapoteza hata hicho kinasa intanet chao...hizo unazo ongea weye zipo kwa pre-paid? mi nataka kwa matumizi ya home tuuu onePC...

Hiyo inafaa hata kwa matumizi ya home tu maana inakuwa bandle tofauti kuna 10000 na kuna za saizi tofauti kama nilivyo hainisha sema kama unatumia Z-connect huwa gharama ni nafuu,
na speed usiseme hata broadband ya ttcl haifati
 
Hiyo Zantel labda ni super kwa habari ya mobility. Vinginevyo mnatia chumvi.

Mimi mteja wa TTCL, broadband fixed line kwa nyumbani. Halafu kutoka hapo nimeweka wireless kwa kutumia D-link router. Yeyote ndani ya nyumba anafurahia huduma. Speed yao ni nzuri; inaniwezesha kuangalia video bila mizengwe, iwe CNN, DW, na mipira tele kutoka dunia nzima, nk.

Gharama zao ni affordable. Na ni kampuni yetu ya kizalendo.


Tunaongelea Mobile banaa,
kama ni landline wapo wengi tu ambao ni wazuri
 
Jamani naomba msaada. Najaribu kutumia simu yangu Nokia kama modem kupata internet kupitia Zantel lakini hai-connect. Nime-download Nokia PC Suite na kwenye configuration nimeweka "znet"

Please help.

Kama setting ni internent ndio uweke znet, kama ni wap zwap,
hiyo ni katika kufanya configuration manualy, user name na password unaacha wazi.
 
Naungana na wewe mkuu MTM, coverage ya hiyo Zantel ikoje?! Mie natumia Voda, na mara nyingi natumia kwenye Laptop nikiwa safari za huko mikoani. Sasa hiyo Zantel utapata connectivity ukiwa huko ndani ndani?! Kama uko stationary miji mikubwa, kama Dar vile, una choice kubwa sana.

mkuu zantel wanatumia minara ya voda
 
Hili suala la internet tunaliongelea kishabiki wakati ni suala la kiuchumi ambalo inatakiwa tutumie data sahihi badala ya ushabiki wa nani bora kati ya simba na yanga. Ukishabikia kitu cha kiuchumi utaishia kuliwa na hatimaye utashangaa mbona kila mwaka mambo yangu hayabadiliki? Sasa tuangalie yafuatayo.

Internet ya nyumbani au ofisini: Nyumba au ofisi havihami na asilimia themanini ya muda ama tuko nyumbani au ofisini. Asilimia kama kumi ya muda tuko kwenye vyombo vya usafiri au tuko kwa marafiki au kwenye starehe (kwa wastani wa watu wengi). Asilimia chache sana ya muda tuko nje ya ofisi au nyumbani na tuko kazini hivyo; FIXED INTERNET NI CHEAPEST NA KUNA UWEZEKANO MKUBWA ZAIDI WA KUITUMIA. HATA KAMA KUNA VI-USUMBUFU VYA HAPA NA PALE, FIXED INTERNET NI BEST. DUNIANI KOTE.

Sasa kwa Tanzania, TTCL wanauza 1GB for Tshs 30,000.00, 2GB kwa Shiling 60,000.00, na unlimited 256Kbps kwa Tshs 45,000 kwa mwezi. Sijaona rates za chini kuliko hizi. Mwenye kujua rates za chini zaidi hapa jamvini.

Kwa Matumizi ya ofisi angalia rates hizi, 4GB kwa 100,000.00, 10GB kwa 200,000; 20GB kwa 360,000 na mwisho wa zote 40GB kwa 450,000 na 100GB kwa 1m (yaani hapa unazungumzia shilingi 10 kwa 1MB). Wenye rates za chini zaidi katika soko wazilete hapa jamvini ili tujiridhishe.

Ni kweli at times utahitaji kutumia internet ukiwa mbali na nyumbani au ofisini, kwa hiyo you need an alternative means. Hapa utahitaji kuwa na second alternative ambayo kusema kweli lazima tuwe makini. Mobile rates hazitofautiani kama tunavyozungumza hapa. Zantel wanacharge Tshs 120 kwa MB na wana bundles kama ambavyo tumeshaziona hapa. TTCL wanacharge Tshs 160.00 kwa MB na wana bundles kama ambavyo tumeona vile vile. Tofauti ya TTCL na Zantel kwenye Mobile ni shilingi 40. Vodacom ni Tshs 264 kwa MB moja na Zain ni kama Tshs 300 kwa MB.
TTCL Mobile inapatikana makao makuu ya mikoa yote hapa nchini; Zantel ni kwa baadhi ya mikoa tu hata hapa dar kuna rafiki yangu anakaa maeneo ya Mbezi Makabe Zantel hakuna.

Ikiwa ninasafiri safiri mara kwa mara je naenda zaidi mikoa ipi? Vipi nikienda milkoa ile ambako Zantel haipatikani, what is the cost of missing my connection? Inawezekana kweli ile tofauti ya Tshs 40.00 kati ya TTCL na Zantel ikakufanya uingie gharama kubwa zaidi kwani ukienda mahali ambko zantel haipo, ama you miss kabisa au ununue second device which is additional expenses.

Kwa hiyo, mimi Nyumbani na ofisini natumia TTCL Broadband and it is cheaper. Nasafiri mara nyingi katika mikoa yote. Yaani sijui kama mwezi ujao nitakuwa mtwara au Sumbawanga au Mwanza. Mwanzoni nilikuwa na Vodacom 3G, siku moja nikasafiri nikatumia wiki mbili Mtwara. Niliporudi nikanunua Zantel. All was well, nikasafiri kwenda Sumbawanga wiki tatu. I had to buy TTCL mobile.

Sasa angalia; nilijikuta nimenunua devices tatu. Devices hizo ninazitumia ninapokuwa nimesafiri tu. Nimegundua I spent too much. Ningenunua TTCL mobile in the first place, nisingehitaji kununua Voda au Zantel tena. Ni vibaya sana kufanya maamuzi kwa kuangalia kitu kimoja tu eti mobility. Watu wengi tuna end-up spending too much kwa service ambazo kusema kweli hazihitaji mobility. Ikiwa asilimia themanini ya muda natumia internet nikiwa sehemu ile ile kwa nini nitumie hata shilingi zaidi kununua service ya mobile wakati ya landline ambayo ni bora na gharama nafuu zaidi ipo? Tuwe wachumi.

Ukitaka kujua watu wanaoangalia sana uchumi na ambao siku zote wako mbele nenda mitaa ya uhindini. Lazima utamkuta mtu analandline na ina Broadband. Hizi mobile na laptop wengi tunanunua for show off ambazo mara nyingi zinatuumiza zaidi kuliko kutusaidia.

Kumalizia, wisdom duniani kote ni kuwa 3G ni expensive.
 
Ongera sana TTCL kwa kuleta EV-DO, Lakini cha kusikitisha ni gharama zenu maana nyinyi mlidai mmejiunga na mkonga,

Ila siku TTCL wakigundua kuwa gharama zao ziko juu wakipunguza Ntajiunga nao kwasasa Hongera lakini kwaheri.

Asante ndugu yangu, lakini itachukuwa kitambo TTCL kushituka na kuchukuwa hatua, maana wana vigezo vya kwao wenyewe kucheza na bei kwa wateja, hawatazami bei za soko peke yake. Hukumbuki ilichukuwa muda mrefu sana kushituka kwamba wateja wao wanawakimbia kwa sababu ya rushwa na lugha mbaya na kubambikizana madai ya simu? Siku zile ukipeleka maombi mafundi waje kukagua simu kwako yenye matatizo walichukuwa hata miezi nane. Leo hii wiki haliishi, tena wanafuatilia kwelikweli. Lakini ni bada ya goigoi ndeeeeefu kupita.

Leka
 
Kama setting ni internent ndio uweke znet, kama ni wap zwap,
hiyo ni katika kufanya configuration manualy, user name na password unaacha wazi.

Help. Nimeweka zwap sasa ina-connect lakini browser hai-connect.
 
Hili suala la internet tunaliongelea kishabiki wakati ni suala la kiuchumi ambalo inatakiwa tutumie data sahihi badala ya ushabiki wa nani bora kati ya simba na yanga. Ukishabikia kitu cha kiuchumi utaishia kuliwa na hatimaye utashangaa mbona kila mwaka mambo yangu hayabadiliki? Sasa tuangalie yafuatayo.

Internet ya nyumbani au ofisini: Nyumba au ofisi havihami na asilimia themanini ya muda ama tuko nyumbani au ofisini. Asilimia kama kumi ya muda tuko kwenye vyombo vya usafiri au tuko kwa marafiki au kwenye starehe (kwa wastani wa watu wengi). Asilimia chache sana ya muda tuko nje ya ofisi au nyumbani na tuko kazini hivyo; FIXED INTERNET NI CHEAPEST NA KUNA UWEZEKANO MKUBWA ZAIDI WA KUITUMIA. HATA KAMA KUNA VI-USUMBUFU VYA HAPA NA PALE, FIXED INTERNET NI BEST. DUNIANI KOTE.

Sasa kwa Tanzania, TTCL wanauza 1GB for Tshs 30,000.00, 2GB kwa Shiling 60,000.00, na unlimited 256Kbps kwa Tshs 45,000 kwa mwezi. Sijaona rates za chini kuliko hizi. Mwenye kujua rates za chini zaidi hapa jamvini.

Kwa Matumizi ya ofisi angalia rates hizi, 4GB kwa 100,000.00, 10GB kwa 200,000; 20GB kwa 360,000 na mwisho wa zote 40GB kwa 450,000 na 100GB kwa 1m (yaani hapa unazungumzia shilingi 10 kwa 1MB). Wenye rates za chini zaidi katika soko wazilete hapa jamvini ili tujiridhishe.

Ni kweli at times utahitaji kutumia internet ukiwa mbali na nyumbani au ofisini, kwa hiyo you need an alternative means. Hapa utahitaji kuwa na second alternative ambayo kusema kweli lazima tuwe makini. Mobile rates hazitofautiani kama tunavyozungumza hapa. Zantel wanacharge Tshs 120 kwa MB na wana bundles kama ambavyo tumeshaziona hapa. TTCL wanacharge Tshs 160.00 kwa MB na wana bundles kama ambavyo tumeona vile vile. Tofauti ya TTCL na Zantel kwenye Mobile ni shilingi 40. Vodacom ni Tshs 264 kwa MB moja na Zain ni kama Tshs 300 kwa MB.
TTCL Mobile inapatikana makao makuu ya mikoa yote hapa nchini; Zantel ni kwa baadhi ya mikoa tu hata hapa dar kuna rafiki yangu anakaa maeneo ya Mbezi Makabe Zantel hakuna.

Ikiwa ninasafiri safiri mara kwa mara je naenda zaidi mikoa ipi? Vipi nikienda milkoa ile ambako Zantel haipatikani, what is the cost of missing my connection? Inawezekana kweli ile tofauti ya Tshs 40.00 kati ya TTCL na Zantel ikakufanya uingie gharama kubwa zaidi kwani ukienda mahali ambko zantel haipo, ama you miss kabisa au ununue second device which is additional expenses.

Kwa hiyo, mimi Nyumbani na ofisini natumia TTCL Broadband and it is cheaper. Nasafiri mara nyingi katika mikoa yote. Yaani sijui kama mwezi ujao nitakuwa mtwara au Sumbawanga au Mwanza. Mwanzoni nilikuwa na Vodacom 3G, siku moja nikasafiri nikatumia wiki mbili Mtwara. Niliporudi nikanunua Zantel. All was well, nikasafiri kwenda Sumbawanga wiki tatu. I had to buy TTCL mobile.

Sasa angalia; nilijikuta nimenunua devices tatu. Devices hizo ninazitumia ninapokuwa nimesafiri tu. Nimegundua I spent too much. Ningenunua TTCL mobile in the first place, nisingehitaji kununua Voda au Zantel tena. Ni vibaya sana kufanya maamuzi kwa kuangalia kitu kimoja tu eti mobility. Watu wengi tuna end-up spending too much kwa service ambazo kusema kweli hazihitaji mobility. Ikiwa asilimia themanini ya muda natumia internet nikiwa sehemu ile ile kwa nini nitumie hata shilingi zaidi kununua service ya mobile wakati ya landline ambayo ni bora na gharama nafuu zaidi ipo? Tuwe wachumi.

Ukitaka kujua watu wanaoangalia sana uchumi na ambao siku zote wako mbele nenda mitaa ya uhindini. Lazima utamkuta mtu analandline na ina Broadband. Hizi mobile na laptop wengi tunanunua for show off ambazo mara nyingi zinatuumiza zaidi kuliko kutusaidia.

Kumalizia, wisdom duniani kote ni kuwa 3G ni expensive.

Ni kweli mkuu kuangalia maswala ya kiuchumi ni muhimu sana hasa katika ulimwengu wa sasa na unatakiwa uangalie mahitaji yako halisi yako vipi?

Watu wengi wanaisifia zantel kwa sababu ya speed ila mawazo yako ni mazuri.
 
Du! sasa hawa Zantel wamejiunga na Mkonga au bado kama bado labda gharama zao zitashuka zaidi watakapojiunga. Hiyo modem ya zantel ntaichukua umeifagilia sana mkubwa!. Mbambo mazuri yatanipita hivihivi.
 
Help. Nimeweka zwap sasa ina-connect lakini browser hai-connect.

baada ya ku-config simu utakiwa ufanye setting ktk PC suite kwenye komputer. Right Click phone icon > connect to the internet > setting > manualy > acceses point andika "ZNET" sio zwap kwa zantel.
 
Hili suala la internet tunaliongelea kishabiki wakati ni suala la kiuchumi ambalo inatakiwa tutumie data sahihi badala ya ushabiki wa nani bora kati ya simba na yanga. Ukishabikia kitu cha kiuchumi utaishia kuliwa na hatimaye utashangaa mbona kila mwaka mambo yangu hayabadiliki? Sasa tuangalie yafuatayo.

FIXED INTERNET NI CHEAPEST NA KUNA UWEZEKANO MKUBWA ZAIDI WA KUITUMIA. HATA KAMA KUNA VI-USUMBUFU VYA HAPA NA PALE, FIXED INTERNET NI BEST. DUNIANI KOTE.

Sasa kwa Tanzania, TTCL wanauza 1GB for Tshs 30,000.00, 2GB kwa Shiling 60,000.00, na unlimited 256Kbps kwa Tshs 45,000 kwa mwezi. Sijaona rates za chini kuliko hizi. Mwenye kujua rates za chini zaidi hapa jamvini.

Kwa Matumizi ya ofisi angalia rates hizi, 4GB kwa 100,000.00, 10GB kwa 200,000; 20GB kwa 360,000 na mwisho wa zote 40GB kwa 450,000 na 100GB kwa 1m (yaani hapa unazungumzia shilingi 10 kwa 1MB). Wenye rates za chini zaidi katika soko wazilete hapa jamvini ili tujiridhishe.



Kumalizia, wisdom duniani kote ni kuwa 3G ni expensive.


Namuunga mkono thinkpad 100% Ukiangalia kwa umakini ni hivi Zantel 10GB ni Tsh 270,000/= yaani hiyo ni 27sh kwa 1MB
alafu speed ni kubwa kuliko ya mitandao yoote iliyo TZ yaani vodacom, TTCL, Sasatel, Zain, tiGO, Tritel, BOL hili halina ubishi.

Kingine kuhusu 3G kuwa expensive duniani zantel sio 3G voda na zain ndio 3G zantel wana system ambayo mitandao yoote nchini hawana hivyo Zantel wako vyema na hawaitaji faida kubwa kulinganisha na mitandao mingine nyonyaji ambayo tulipaswa kuisusia kwa umoja mpaka pale watakapoona kuwa sivyema kutengeneza faida kubwa.
 
Back
Top Bottom