Wow!

picha zingine ni aibu tupu, halafu nikiangalia avatar yako yaani ni kituko tupu...


Sawa mpwa, unasalimiwa na Yo Yo hapo juu yupo na mwanae wanazunguka mtaani tu.
 
Karoti hizi si za kununua


 
Do not allow your kids get kloz to this drink:


 


'Nguli' ndani ya Dar akizunguka barabara ya Kawawa kusaka michongo ya w/end
 
Basi hili lingekuwa Tz basi sijui ingekuwaje?


 
pimbi wewe kiboko nilikuwa nimenuna kweli lakini kwa hizi picha zako umenifurahisha na kuniondolea uchovu wooooooooooooooote big up ma man,,,,,,,,,,,,,,,,,,.
 
pimbi wewe kiboko nilikuwa nimenuna kweli lakini kwa hizi picha zako umenifurahisha na kuniondolea uchovu wooooooooooooooote big up ma man,,,,,,,,,,,,,,,,,,.
Mkuu uchovu wa kazi unapelekea tuwaze namna ya kupumua kivingine.


 
Kina flani mnaotumia dawa za kichina, maeneo flani yakigoma kutuna zinatuna sehemu hizi...


 
Na huyu jamaa amekasirika nini sasa?


 
Pimbi we kiboko, hiyo avator yako imeniacha hoi!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…