Yaani we umebarikiwa. Anayebisha anipmMie sina hata hilo wo wowo ila najiona nimebarikiwa aisee. Hongera zao wale wote wenye hayo mawo wowo. Sie tusionayo wacha tukae kimya.
Ila wanaume mnapenda kuangalia eti fahari ya macho duuh.
Hivyo vingine ndivyo ninavyovijua.Nimebarikiwa vingine mkuu ila sio hilo mnaloita Wo wowo.
wowowo ni nzuri ikibaki ndani ya nguo.nanukuu................."wowowo............zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo,hata ujirembe vipi, sisi tuna tizama wowowooo, sura hata mbuzi anayo ila sasa wowooooo,"huyu msanii hi nyimbo yake ni kiboko kapita mule mule, asilimia 95% ya wanaume na hakika wanapenda wowowoo, hata kwa kuangalia fahari ya macho.
Nimebarikiwa vingine mkuu ila sio hilo mnaloita Wo wowo.
MTU ana liwowowo hilo lakini maradhi alonayo ni mengi, hio afya kivipii??lina ongeza afya ya macho
asikwambie mtu kipotabo unakipa sifa za kishamba tu, ila hata ukiwa nacho likipita wowowo lazima macho ya kutokee..usichezee na wowowo, hali jifichi hata kwenye baibuiIla nyie viumbe huwa hamjulikaniki nini mnataka unaweza kuwa na mwenye hilo mnaosema wowowo na akapita kipotabo ukakipenda
afya ya machoo mkuu[kwa kulitazama], sio kila ukiona wowowo utake ulione likiwa halina nguo.....na wadada washajua ugonjwa wetu so wanatumia mbolea alioleta mchina ya kukuza wowowoMTU ana liwowowo hilo lakini maradhi alonayo ni mengi, hio afya kivipii??
Kumbe afya ya macho?? Looohafya ya machoo mkuu[kwa kulitazama], sio kila ukiona wowowo utake ulione likiwa halina nguo.....na wadada washajua ugonjwa wetu so wanatumia mbolea alioleta mchina ya kukuza wowowo
Wala asikutishee shogaaa ile fahari ya macho tuuu[emoji1][emoji1][emoji1]Mie sina hata hilo wo wowo ila najiona nimebarikiwa aisee. Hongera zao wale wote wenye hayo mawo wowo. Sie tusionayo wacha tukae kimya.
Ila wanaume mnapenda kuangalia lol eti fahari ya macho duuh.
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wo wowo lipo dukani hukitaka baraka unaweza kununua uwe mbarikiwa kama wenzako.Nimebarikiwa vingine mkuu ila sio hilo mnaloita Wo wowo.