Wrestler wa Austria Wilhelm Ott "Asilimu"

Wrestler wa Austria Wilhelm Ott "Asilimu"

Raha sana kama ni hivyo. Anajipayia toto original sio la mkorogo na nywele za maiti. Au wewe unaonaje? Raha siyo raha?
Kweli anafaidi akienda firdaus anapewa wengine 72 bikra..
Kwa mwendo huu nami nasilimu kabla ya july
 
Walawi 19:28 “Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu, mimi ndimi BWANA”
Agano la Kale

1 wakorinto 6:19-20
19.Au hamjui mwili wenu ni Hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani Yenu,mliyepewa na Mungu?? na wala Ninyi si Mali Yenu wenyewe.
20.Maana mlinunuliwa Kwa thamani,Sasa basi ,Mtukuzeni Mungu katika Miili Yenu.
Agano Jipya
Kukiuka baadhi ya masharti kwenye hakukufanyi kutokuwa member wa dini hiyo , wangapi Wana tatoos lakini Ni wakiristo, eg beckam, rashford , Sterling , Carlos, ederlson, Drake ,etc yaani point yako Ni Kama vile mtu awe mwizi halafu umwambie mtu huyo sio mkiristo au mwislamu kwa kuwa tu mwizi , kwa kuwa wizi umekatazwa kwenye dini hizo
 
Mnajilipua au?
Huyo wrestler hakuwa Mkristo look at his body amejaa tattoos na huo sio Ukristo.
.
Leteni habari za waliokuwa Wakristo, Wahindu, Wayahudi na Buddha kusilimu sio atheist kama huyo we real don't care.
Post namba 23 nilikuwekea wachungaaji wa kondoo waliopotea walioiona Nuru na kurudi, sasa na huyu alikuwa Buddhist kawa Sheikh. Jionee...



Wewe unangoja nini? Corona?
 
Mnajilipua au?
Huyo wrestler hakuwa Mkristo look at his body amejaa tattoos na huo sio Ukristo.
.
Leteni habari za waliokuwa Wakristo, Wahindu, Wayahudi na Buddha kusilimu sio atheist kama huyo we real don't care.
Sijamalizana na wewe bado, huyu alikuwa mhindu kaiona Nuru...



Unangoja nini?
 
Sijamalizana na wewe bado, huyu alikuwa mhindu kaiona Nuru...



Unangoja nini?

Nangoja ujio wa Kristo, maana alisema hakuna atakaye urithi ufalme wa mbingu bila yeye.

Unamchukuliaje Yesu nje ya kuwa Masihi wa bwana?
 
Kukiuka baadhi ya masharti kwenye hakukufanyi kutokuwa member wa dini hiyo , wangapi Wana tatoos lakini Ni wakiristo, eg beckam, rashford , Sterling , Carlos, ederlson, Drake ,etc yaani point yako Ni Kama vile mtu awe mwizi halafu umwambie mtu huyo sio mkiristo au mwislamu kwa kuwa tu mwizi , kwa kuwa wizi umekatazwa kwenye dini hizo
Brother, nauhakika unawafahamu John Cena na Cristiano Ronaldo hivi umewahi kujiuliza kwanini hawajichori licha ya kuwa ma-star wakubwa?

Angalia na background ya hao uliowataja utagundua wengi hawana misingi mizuri ya Kikristo, mathalani Drake huyu amezaliwa katika familia ya Kiyahudi hivyo Ukristo wake hauna misingi mizuri.

Mwanamichezo akibadili dini na kuwa Muislam inakuwa big issue wakati kuna kila Dele Ali hawaitaki hiyo imani and hakuna anayejali unaweza kujua ni kwanini?
 
Ni mimi nimesema Naoa usiku asubuhi naacha, sio mama yangu. Usinitafutie Ban we bi mkubwa.
Ukiwa unaandika ujinga unatakiwa uwe mvumilivu kijana,hapa uko vitani usimchagulie silaha adui yako. Acha upigwe tu ili akili ikukae sawa.

Unapovunja heshima za watu, ukivunjiwa yako inabidi ufanye yafuatayo :
1. Kufanya kinyume chake
2. Utambue kosa lako kisha uliache.
 
Hii comment imenikwaza. Whatever she has been through in her life, my mother is the holy spirit to me. Don't bring her here please.
kuepuka kukwazwa uwe unaacha kucoment ujinga mkuu, pole sana.
 
Ni mtume na mja wa Allah, hakuna la zaidi baada ya hayo.
Biblia haimtambui Yesu Kristo kama mtume na wala hakuwahi kumtumikia Allah.

Nina sababu kadhaa;
1. Yesu hajawahi kuabudu Makkah.
Historia ya Allah inafahamika ni moja ya Miungu mingi ya Kiarabu na wafuasi wake toka awali walikuwa wakiabudu eneo lile lile kabla hata ya ujio wa Uislamu.

2. Yesu alisema yeye ni njia ya kweli na uzima hakuna atakayekwenda kwa baba bila yeye ndio maana kama umewahi kutusikia Wakristo tukisali tunapomaliza tunasema (Katika Jina la Yesu Kristo) ila wafuasi wa mtume Muhammad wanamtaja yeye hii inamu-exclude Yesu automatically upande wa Allah.

Zipo nyingi zitoshe kwa sasa hizo
 
Biblia haimtambui Yesu Kristo kama mtume na wala hakuwahi kumtumikia Allah.

Nina sababu kadhaa;
1. Yesu hajawahi kuabudu Makkah.
Historia ya Allah inafahamika ni moja ya Miungu mingi ya Kiarabu na wafuasi wake toka awali walikuwa wakiabudu eneo lile lile kabla hata ya ujio wa Uislamu.

2. Yesu alisema yeye ni njia ya kweli na uzima hakuna atakayekwenda kwa baba bila yeye ndio maana kama umewahi kutusikia Wakristo tukisali tunapomaliza tunasema (Katika Jina la Yesu Kristo) ila wafuasi wa mtume Muhammad wanamtaja yeye hii inamu-exclude Yesu automatically upande wa Allah.

Zipo nyingi zitoshe kwa sasa hizo
Sasa itamtambua vipi wakati hakuna mtume aliyepewa kitabu kinachoitwa Biblia. Yesu alipewa injili, na huwezi kuta hayo mnayo yadai katika injili zaidi ya story za uongo, Musa alipewa Taurati, Dawood alipewa Zaburi. Sasa Biblia ni mkisanyiko wa vitabu visivyojulikana waandishi wake ni kina nani, kwahiyo watu walikuwa wanna andika wanayo yataka wao.

Yesu kaondoka hakuacha UKRISTO duniani, bali Wakristo mnatumia kivuli chake kueneza USHIRIKINA wenu.

Ahsante.
 
Nangoja ujio wa Kristo, maana alisema hakuna atakaye urithi ufalme wa mbingu bila yeye.

Unamchukuliaje Yesu nje ya kuwa Masihi wa bwana?
Huyo atakuja kuwasuta nyinyi mnaomzulia kuwa eti yeye "Mungu".
Jionee na sikiliza ushauri ambao wenzako makundi kwa makundi wanaufata...

 
Sasa itamtambua vipi wakati hakuna mtume aliyepewa kitabu kinachoitwa Biblia. Yesu alipewa injili, na huwezi kuta hayo mnayo yadai katika injili zaidi ya story za uongo, Musa alipewa Taurati, Dawood alipewa Zaburi. Sasa Biblia ni mkisanyiko wa vitabu visivyojulikana waandishi wake ni kina nani, kwahiyo watu walikuwa wanna andika wanayo yataka wao.

Yesu kaondoka hakuacha UKRISTO duniani, bali Wakristo mnatumia kivuli chake kueneza USHIRIKINA wenu.

Ahsante.
Hatuenezi ushirikina bali upendo. Hatuna surat jin sisi.

Hiyo Injili kitabu chake kinapatikana wapi?
Nitathibitishaje Bibli ni ya uongo ikiwa aya zake na habari zake zimewekwa kwenye Koran?
 
Huyo atakuja kuwasuta nyinyi mnaomzulia kuwa eti yeye "Mungu".
Jionee na sikiliza ushauri ambao wenzako makundi kwa makundi wanaufata...


Ni mwana wa Mungu na Masihi.
Nina swali kwanini Uislamu ni opponent wa Ukristo na Uyahudi ilhali Ukristo na Uyahudi sio opponent wa imani yoyote?
 
Back
Top Bottom