Written interview kwa tutorial assistants huwa yanakuwaje?

Written interview kwa tutorial assistants huwa yanakuwaje?

Genuine raf

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2022
Posts
673
Reaction score
1,804
Wenzetu ambao mmeshafanya usaili kama MUST, MOCU, Mzumbe, SUA nk Nature ya maswali ya interview ya assistant lecturers na tutorial assistant written maswali yakoje kwa ujumla tupate mwanga kidogo sisi ambao bado
 
Nature ya interview za vyuoni ni upendeleo na kuwabeba Wanafunzi wao i.e wale waliohitimu kwenye chuo chao.
 
Nature ya interview za vyuoni ni upendeleo na kuwabeba Wanafunzi wao i.e wale waliohitimu kwenye chuo chao.
Sasa unamuachaje mwanao uliomzaa mwenyewe!

Wanafunzi waliosoma kwenye chuo husika Wana wigo mpana wa kukifahamu chuo husika in All sphere.

Sioni shida hapo, inachotakiwa we ukaombe tu kwenye hicho chuo chako kama ni Rahisi kupata kwa kuwa umesoma hapohapo 😕😕
 
Sasa unamuachaje mwanao uliomzaa mwenyewe..!!
Wanafunzi waliosoma kwenye chuo husika Wana wigo mpana wa kukifahamu chuo husika in All sphere...
Sioni shida hapo,, inachotakiwa we ukaombe tu kwenye hicho chuo chako kama ni Rahisi kupata kwa kuwa umesoma hapohapo 😕😕
sasa si wafaulu interview na si kubebwa
 
Back
Top Bottom