WW3: Diamond Platnumz Vs Diva

artist wanaoishi bila ku fake maisha duniani ni wachoraji tu labda uchizi tu ndo huwa unawasumbua
 
Halafu inaonekana wasanii wa bongo ni masikini sana,yaani kibongobongo muziki haulipi kabisa yan
 
dawa ni kumkaza tu hakuna namna nyingine
 
Diva hata alalame vipi hajawahi shika hizo 75m

Wala msanii wake asiyependa kujionyesha asiyeyepnda show off hajawahi lipwa pesa hio per show .

Fake bitch ,fake celebrity, dunderhead presenter



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…