Ndo kwanza wanaanza mwaka huu
hao ni matapeli 2 mkuu,wangekua serious wangejitangaza kwenye vyombo vya habari!otherwise wanataka kutapeli watu tu.
Ndo yale yale ya DESI, walio omba tusubiri tuone
Matapeli 2 hao.
hao ni matapeli 2 mkuu,wangekua serious wangejitangaza kwenye vyombo vya habari!otherwise wanataka kutapeli watu tu.
wamemutapeli nani?verify,cio kutoa maneno from nowhere!