Tetesi: Wydad AC yatuma ofa Yanga kwa wachezaji wawili Aziz Ki na Mzize, Yanga yasema kila mmoja ni TSh. Bilioni 1.993

Yanga waanze kuzisikiliza izo ofa mwishoni mwa msimu huu but sio kwenye hili dirisha dogo wakati ambao timu inapambana kufuzu robo fainali na wachezaji hao ni muhimu,,na pia sio kazi rahisi kupata replacement yao kwenye hili dirisha dogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…