Wydad kutoshiriki Club Bingwa msimu ujao

Wydad kutoshiriki Club Bingwa msimu ujao

Wakati ule sio Sasa ndio maana mnagombea nafasi Moja na Simba.
Hapo kwenye "Mnagombea nafasi moja na Simba "
Je umenijimuisha mimi kwenye upande upi?

Halafu mimi sijashangaa Azam kugombea ubingwa bali nimeshangaa aliposema Azam itaenda kuvunja record zote za Simba na Yanga walizovuna klabu bingwa. Ndio nikauliza Azam huyu huyu aliyetolewa jasho na waethiopia kwenye CAFCC ndio wavunje point za Simba na Yanga?
 
Hapo kwenye "Mnagombea nafasi moja na Simba "
Je umenijimuisha mimi kwenye upande upi?

Halafu mimi sijashangaa Azam kugombea ubingwa bali nimeshangaa aliposema Azam itaenda kuvunja record zote za Simba na Yanga walizovuna klabu bingwa. Ndio nikauliza Azam huyu huyu aliyetolewa jasho na waethiopia kwenye CAFCC ndio wavunje point za Simba na Yanga?
Haujaelewa comment yake. Anamaanisha kwamba azam hapawezi kule champions league kwaiyo akienda atafanya vibaya kupelekea kushusha points za timu zinazotoka kwenye ligi. Hizi points zina umuhimu wake kwa sababu zinahakisi uimara wa ligi ya nchi kwaiyo ndio zinatumika kuamua nchi itoe washiriki wangapi. Akienda azam atambwela kama kawaida yake usishangae tukatakiwa kuepela mshiriki mmoja tu ni bora aende simba mwenye rekodi nzuri ili tuweze ku-maintain nafasi yetu ya kupeleka washiriki wawili.
 
Wakati huo hapa nchini simba ana hatihati ya kukosa top 2 vile vile kule champiins league ni kundi mmoja tu ambalo hakuna timu iliyopita semi finals. Tumeshapata jawabu kundi lipi lilikua jepesi
 
Dah Wydad wamekuwa na Anguko baya la haraka lisilo la kawaida. Hebu fikiria kutoka kucheza fainali ya klab bingwa waliopigwa na Ahly msimu juzi, kutoka fainali ya African super league mwaka Jana Hadi kutoshiriki kabisa ligi ya mabingwa.
Ohh poleni wydad
 
Mashindano makubwa kuliko yote kuanzia msimu ujao ni AFL na Simba itashiriki hata ikishuka daraja.
 

Attachments

  • Screenshot_20240416-165934.png
    Screenshot_20240416-165934.png
    393.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom