Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Nawapongeza sana masandawana kwenye kupoteza muda baada ya dk za nyongeza.. hawa waarabu ni wapuuzi sana na ndo tabia yao kila siku.
Mfano kipindi cha kwanza walikua wanapoteza muda kipumbavu mpaka kujifanya mtu kaumia, et kafungwa bandeji kubwa kichwani kumbe ni takataka tupu na uongo.
Baada yagame kuisha hakuwa na ile bandeji wala hakuwa na jeraha!! leo upumbavu wao umewarudia.
Hizi team za kiarabu kama fifa wakidhibiti fitna zao nq upuuzi wao nina uhakika hata kwa simba na yanga kwasasa hawatoki waarabu.
NB, CAF wanapaswa kuachana na upumbavu wa final 2 ni ujinga na kupoteza muda, final inakosa mvuto zikiwa 2.
Mfano kipindi cha kwanza walikua wanapoteza muda kipumbavu mpaka kujifanya mtu kaumia, et kafungwa bandeji kubwa kichwani kumbe ni takataka tupu na uongo.
Baada yagame kuisha hakuwa na ile bandeji wala hakuwa na jeraha!! leo upumbavu wao umewarudia.
Hizi team za kiarabu kama fifa wakidhibiti fitna zao nq upuuzi wao nina uhakika hata kwa simba na yanga kwasasa hawatoki waarabu.
NB, CAF wanapaswa kuachana na upumbavu wa final 2 ni ujinga na kupoteza muda, final inakosa mvuto zikiwa 2.