Wydad leo wamefanyiwa kile ambacho huwa wanakifanya

Wydad leo wamefanyiwa kile ambacho huwa wanakifanya

Wahuni sana wale watu,,, wanaongoza kwa kujiangusha na wanabebwa sana bora walipata wahuni wenzao
 
Dk 6 bado foul inapigwa,mtu akipigwa yellow anaenda mwingine ambaye hana Yellow card ,mamelodi waliamua kwamba hii ndo final hata wakipigwa card hawana mechi nyingine
Ile waliamua maana zile aerial ball za Wydad zilikuwa mbaya sana ilibidi kupoteza muda ila refa muhuni alikuwa upande wao sema hakutaka kuonesha
 
Yah kijana kapewa kabisa urithi wake ila nachomkubali ye ni kuweka mzanzi wenzake kwenye team akitaka kuleta foreigner basi ni kutoka Amerika au North afrika ila wanaotamba ni wa SA ila pia ni mpwa wa mke wa Rais wa SA Cyril Ramaphosa
Nani ndio mpwa mkuu. Ni Patrick au huyo mtoto wake?
 
Malalamiko ni double standards. Kwa nini timu zingine zikiomba kucheza na waarabu ama mechi zao kwenye jua zinakataliwa.

Mfano simba alishakataliwa muda wa jua.


Simba na raja simba aliomba acheze saa 10 dar akakataliwa.

Mazembe aliomba acheze na esperence saa tisa congo akakataliwa

KAMA MAMELODI ANARUHUSIWA KUCHEZA KWENYE JUA WHY SIMBA NA MAZEMBE WANAKATALIWA ?
Simba alipigwa 3 na Raja mchana wa jua kali
 
Kama sheria inaruhusu kwa mamelodi mbona wengine wanakataliwa. Je wanakataliwa kwa sheria gani ?

Simba na raja simba aliomba acheze saa 10 dar akakataliwa.

Mazembe aliomba acheze na esperence saa tisa congo akakataliwa

KAMA MAMELODI ANARUHUSIWA KUCHEZA KWENYE JUA WHY SIMBA NA MAZEMBE WANAKATALIWA ?

Ama sababu mabosi wao sio Rais wa Caf kama bosi wa Mamelodi ?
Mechi ya Raja ilichezwa mchana saa 10
 
Simba alipigwa 3 na Raja mchana wa jua kali

Bishana na records kutoka simba app.

Caf walikataa isichezwe juani. Mpaka jua lizame.

Hakuna mwarabu anaeweza mfunga simba kwenye jua kwa mkapa
 

Attachments

  • Screenshot_20231113-135601_Firefox.jpg
    Screenshot_20231113-135601_Firefox.jpg
    241.8 KB · Views: 2
Bishana na records kutoka simba app.

Caf walikataa isichezwe juani. Mpaka jua lizame.

Hakuna mwarabu anaeweza mfunga simba kwenye jua kwa mkapa
Kikubwa Waarabu koko wako ambao uliwaamini watabeba kombe la African Football League kwa kushushiwa kipigo kitakatifu 2-0.

Ukome kukariri matokeo ya mpira kabla haujachezwa tokana na historia iliyopita [emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo na Ile mechi ya kwanza kule Kwa wydad aliipanga nani ?😂😂
Motsepe ndie mmiliki wa Mamelodi. Kama Mo na simba ama Gsm na yanga

Ndio maana mechi wanajipangia muda hawakataliwi
 
Mpira wa Africa una uhuni mwingi sana

Mechi inaanza saa tisa jua kali

Hata yanga tuambiwe tunacheza na geita ama ihefu kwenye jua la saa tisa hatutoboi

Cha kushangaza mechi ya fainali Caf wanakubali ianze saa tisa kwenye jua kali sababu mwenye timu ndio rais wa caf anataka hela za zawadi ziwe zake.
League ya Africa kusini mechi nyingi ni saa 10 ndugu sijawahi kuona Mamelody anacheza mechi ya league usiku
 
Nawapongeza sana masandawana kwenye kupoteza muda baada ya dk za nyongeza.. hawa waarabu ni wapuuzi sana na ndo tabia yao kila siku.

Mfano kipindi cha kwanza walikua wanapoteza muda kipumbavu mpaka kujifanya mtu kaumia, et kafungwa bandeji kubwa kichwani kumbe ni takataka tupu na uongo.

Baada yagame kuisha hakuwa na ile bandeji wala hakuwa na jeraha!! leo upumbavu wao umewarudia.

Hizi team za kiarabu kama fifa wakidhibiti fitna zao nq upuuzi wao nina uhakika hata kwa simba na yanga kwasasa hawatoki waarabu.

NB, CAF wanapaswa kuachana na upumbavu wa final 2 ni ujinga na kupoteza muda, final inakosa mvuto zikiwa 2.
Yaani Masandawana wameonyesha kuwa waarabu ambacho huwa wanafanya wengi huwa hawafurahi na kinawaumiza wengi sana. Sasa wamechuma walichokipanda na Bado, Hilo ni mwanzo tu Bado picha yenyewe. Kwa Sasa waarabu wajiandae kufungwa sana na timu za kusini mwa Africa, kumekucha.
 
Back
Top Bottom