@Kitoabu ww ni katika wabongo wengi ambao mnaangalia mechi za yanga tu au Simba tu.Mshamba tu huyo jamaa.
Inaonyesha hajui anachokizungumza
Hawa waangola msimu uliopita walitolewa na hawahawa wydad naweza sema ni vibonde wao ila kabla ya kukutana na wydad walikipiga na mamelod weeeeeee ile mechi siwezi isahau kamwe[emoji119][emoji119][emoji119]mamelod hakuamini kama katoka tena palepale south africaHii ni mechi dume na wydad anaongoza moja lakin anapelekewa moto hatari hadi kocha wao anatamani kuwaambia wakimbie.
Huku kwetu mpira ni ushubwada tu, eti timu ina Kibu Denis, Boco, Mzamiru, halafu wanategemea kufika nusu. Timu ina Denis Nkane, Mudathir, Job, masihara makubwa sana.
Tanzania tunapenda sana ubabaishaji kila sehemu, sasa mbele ya Mamelod Sundown, Raja, Wydad, Al Ahly, hizi timu zetu zitapitia mlango gani kufika nusu?
Mpira ni uwekezaji na sio kuita press kila siku.
Iyo nusu walitolewa na hawahawa wydadPetro atletico msimu uliopita walifika nusu fainali ya caf champions league.
Na robo fainali walimtoa mamelodi.
Hao wa Angola wana wa brazil wanaupiga mwingii balaa
Bila kusahau handsome boy Carlos Carrinhoss kipenzi cha wanayanga nae yupo Petro anawakilisha wananchi
Ndio hata mimi nina uhakikaMkuu una uhakika kuwa mamelod sundown alitolewa na Petro atletico msimu uliopita??
Simba walikosea wakipotangiliza mat.ako kwenda kukabiliana na adui ishara mbaya sana ile itawacost kwa kipindi kirefuHii ni mechi dume na wydad anaongoza moja lakin anapelekewa moto hatari hadi kocha wao anatamani kuwaambia wakimbie.
Huku kwetu mpira ni ushubwada tu, eti timu ina Kibu Denis, Boco, Mzamiru, halafu wanategemea kufika nusu. Timu ina Denis Nkane, Mudathir, Job, masihara makubwa sana.
Tanzania tunapenda sana ubabaishaji kila sehemu, sasa mbele ya Mamelod Sundown, Raja, Wydad, Al Ahly, hizi timu zetu zitapitia mlango gani kufika nusu?
Mpira ni uwekezaji na sio kuita press kila siku.
Wewe Kolo tangu lini umekua mwananchiWalakini unao wewe..sisi wananchi tulikuwa tunamuita carrinho handsome boy toka yuko Bongo anachezea timu yetu
Uwe ni shukrani kwa jitihada zinazofanyika. Timu imeingia makundi kwa miaka mitano mfululizo halafu uko hapa kukashfu viongozi na wachezaji walioifikisha hapo. Kama unaona uwekezaji hautoshi, wapelekee fungu waboreshe zaidi. Vinginevyo uache kubwabwaja wakati huchangii chochote. Unategemea wenzako watoboke mifuko ili kuridhisha ego yako isiyokuwa na shukrani? Hii haiwezekani.Hii ni mechi dume na wydad anaongoza moja lakin anapelekewa moto hatari hadi kocha wao anatamani kuwaambia wakimbie.
Huku kwetu mpira ni ushubwada tu, eti timu ina Kibu Denis, Boco, Mzamiru, halafu wanategemea kufika nusu. Timu ina Denis Nkane, Mudathir, Job, masihara makubwa sana.
Tanzania tunapenda sana ubabaishaji kila sehemu, sasa mbele ya Mamelod Sundown, Raja, Wydad, Al Ahly, hizi timu zetu zitapitia mlango gani kufika nusu?
Mpira ni uwekezaji na sio kuita press kila siku.