Wydad yatinga final AFL

Huko kwenu mwenye akili ni mmoja tu, nae ni Mh. Rage tu, nyie wengine ni mungu tu ndie anaejua.
 
Simba ni ndogo ukilinganisha na hao miamba waliobaki
Ndogo imagine Esperance na uimara wao ila wamekaa Hawa Wydad siku wanacheza na enyimba ungeweza kusema sio wa hatari ila wanaenda wakibadirika Kila game
 
Nahisi baadhi ya waarabu hudharau Sana mtu mweusi hasa wakiwa huko uarabuni, sidhani kama angethubutu kumsukuma refa mzungu namna ile!!
Marefa nao wamekuwa soft sana pale ni anatembea na red aisee potelea pote
 
Natamani Mamelodi ashinde, ila Al ahly wakiwa ktk mtoano wanabadilika.
 
Ni full house mda huu kuelekea game ya Al Ahly na Mamelody
 
Wenzetu wanajiendesha kisasa kuliko hata team za Ulaya na Arabuni au kule America
Wamechukua ubingwa Club WorldCup mara ngapi?

Wakienda kule wanabondwa na kukandwa vizuri tu.
Subiri USMA Algiers aende Club WorldCup tuone Kama atawasha na kurushia mafataki na kurushia mipira mingi uwanjani kusimamisha mechi kama walivyo wafanyia Yanga.
 
Natamani Mamelodi ashinde, ila Al ahly wakiwa ktk mtoano wanabadilika.
Ningependa iwe hivyo ila Leo wamepewa ruhusa ya full house na ushindi Mamelody walipata ni mdogo anyway tuone hadi mwisho inakuwaje
 
Hivi timu zetu inakuaje zinafika hadi matuta na hawa jamaa wakati wako mbali sana kisoka yani hatuwawezi kiuwekezaji ,kimbinu ,kimanagement na kila kitu ,ila huyu waydad alisoma dua zote pale mohamed wa 5 dhidi ya simba akashinda kwa penati,al Ahly kamtoa simba bila kumfunga mechi zote mbili,yanga kamuua usm Alger palepale kwao .inakuaje uwekezaji wote huo lakini wanaumia sana kwa vijitimu vyetu
 
Marefa nao wamekuwa soft sana pale ni anatembea na red aisee potelea pote
Shida mtu mweusi amesha dunishwa/unyonge.
Angekuwa Colina angeshapeleka nyekundu nyingi hewani kwa goalkeeper πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mkuu ipo serious kabisa?
Unaijua Ulaya au America?
Wangekuwa Bora hivyo wangechukua kombe la WorldCup la vilabu.
Al Ahly kacheza final yake Hilo kombe
Na mara nyingi hilo kombe hushirikisha vilabu vikubwa sana kutoka England Spain Germany na Italy basi
 
Mkuu ipo serious kabisa?
Unaijua Ulaya au America?
Wangekuwa Bora hivyo wangechukua kombe la WorldCup la vilabu.
Jamaa ni Bora na hapo sijamaanisha wao ni Bora kuliko labda Madrid au Man U hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…