Wydad yatinga final AFL

Na wakikutana hao wawili bingwa Ahly
 
Ndogo imagine Esperance na uimara wao ila wamekaa Hawa Wydad siku wanacheza na enyimba ungeweza kusema sio wa hatari ila wanaenda wakibadirika Kila game
Simba pia alitolewa kwa penati na hao hao wydad msimu uliopita
 
acha pumba punda mjane wewe,timu lenu la sinba lina wazee litawezaje kucheza nusu final wewe kenge nini.
 
Sijui
Sijui ni nguvu ya pesa au ni ubabe tu!! Anyway huko ligi zao mambo hizo ni kawaida tu daaaaah
Hatujawa na marefa walioko serious uwanjani ila huwezi fanya mambo kama hayo world cup au uefa
 

I wish wakutane wote wababe Al ahly na wydad
 
I wish wakutane wote wababe Al ahly na wydad
Sasa ni Wydad dhidi ya Mamelody
First leg ni Mohamed V Morroco
Game 2 Loftus Versfeld Pretoria
Ni marudio ya nusu final msimu uliopita

First leg 5th
2nd leg 11th (final)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…