Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mbungi imeanzasaa 3 kamili bado dakika 15.
Na wakikutana hao wawili bingwa AhlyMkuu hata mi nilitaka aingie Esperance ila si umeona upigaji wa penalty na nidhamu ya Wydad!?
Ili kuziondoa hizo team hapo team zingine inabidi Zi upgrade Kila kitu kuanzia management technical staff players na Kila kitu
Wenzetu wanajiendesha kisasa kuliko hata team za Ulaya na Arabuni au kule America
Al ahly sio mbabe wetu namba zinaongeaMamenlod anaenda kuwafundisheni jins ya kumtoa huyo mbabe wenu.
Simba pia alitolewa kwa penati na hao hao wydad msimu uliopitaNdogo imagine Esperance na uimara wao ila wamekaa Hawa Wydad siku wanacheza na enyimba ungeweza kusema sio wa hatari ila wanaenda wakibadirika Kila game
acha pumba punda mjane wewe,timu lenu la sinba lina wazee litawezaje kucheza nusu final wewe kenge nini.Aya ya mwisho imemaliza kila kitu. Halafu unakisikia kuna kitimu kutoka mtaa wenye mafuriko kinasema kitampiga Al Ahly kilaini, na kwamba chenyewe levo yake ni Mamelodi. Hii nchi haitaisha vichekesho.
Tukirudi kwenye game ijayo:AL AHLY ANAENDA KUMTOA MAMELODI SUNDOWNS. Wale Wazee wa kukariri sijui Mamelodi huwa anampiga Al Ahly nje ndani leo ndo mtaenda kujua kuwa Al Ahly ni Real Madrid ya Africa.
Kuna mechi moja ya Al Ahly na Wydad jamaa alimvuta refa jezi ajabu haku adhibiwaNahisi baadhi ya waarabu hudharau Sana mtu mweusi hasa wakiwa huko uarabuni, sidhani kama angethubutu kumsukuma refa mzungu namna ile!!
Sijui ni nguvu ya pesa au ni ubabe tu!! Anyway huko ligi zao mambo hizo ni kawaida tu daaaaahKuna mechi moja ya Al Ahly na Wydad jamaa alimvuta refa jezi ajabu haku adhibiwa
Wameshachukua mara 2 timu za Brasil.Kushinda haiwezekani hao waamerica na waarabu hawafurukuti mbele ya Europe
Team ya wydad Casablanca imetinga hatua ya final ya AFL baada ya kuiondoa Esperance ya Tunisia
Sasa Wydad itamngoja mshindi baina ya Al Ahly na Mamelody
Uzito wa mechi unaonesha wazi kabisa team zetu (TZ) bado Zina safari ndefu kufika ubora wa team za UNAF
Na Imetokea Kama ulivyosemaMamelodi sio mwenzako atawshangaza leo
Nahisi baadhi ya waarabu hudharau Sana mtu mweusi hasa wakiwa huko uarabuni, sidhani kama angethubutu kumsukuma refa mzungu namna ile!!