The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
Habari jf?
Jamani mimi ni mwanamke ambaye nilikuwa na mpenzi wangu toka 2014 mpaka 2016 ambapo mwanzo tulipendana sana na kujaliana. Mwaka 2016 tuliachana tena aliniacha kwa kunichoka tu kwani hakuwa na sababu ya maana aliyonieleza.
Nililia na kupitia kipindi kigumu hadi kufikia kuwekwa chini na ndugu zake ili kunifariji kwani nilijulikana kwao.
Baada ya mapito hayo nilikaa sawa. Undugu kati yangu na ndugu zake haukukatika. Tulijuliana hali na kusaidiana.
Toka 2016 hadi sasa maisha yetu kati yangu na x yalikuwa ni anaweza kukaa mwezi pasipo kunitafuta but inatokea siku ananipigia na kunijulia hali.
Mwaka huu aliniomba msamaha na akanijulisha kuwa amepata girl wake wanayependana nae sana. Hivyo hataki tukae kwa ugomvi na tuendelee kusaidiana kila inapobidi.
Binafsi kusameheana ilikua ni nzuri kwangu lakini suala la ukaribu nae sikuona umuhimu wa kuwa karibu na x na ukizingatia huyo girl wake hajawahi kumuona zaidi ya kuongea nae kwa simu na wanaishi mikoa tofauti.
X niliamua kumchukulia kama rafiki wa kawaida na sio kumpa special care kama mwanzo. But kwa jinsi anavyotaka ni ile special care kwani anaweza kuniambia kitu cha ndani ambacho naamini anapaswa kumwambia girl wake.
Nimejaribu kumpuuza kila anaponitengenezea mazingira ya kumpa special care mfano kufanya nae maendeleo au akipata tatizo niwe wa kwanza kumjali kabla ya mtu yoyote.
Nimemuignore kwenye vitu vingi sana namjibu kama rafiki wa kawaida ambaye siku yoyote naweza nisiwe nae wala kumuona but ameninunia from no where.
Kuna mzigo wake alipaswa kuchukua toka kwangu ila hapokei simu wala kujibu msg.
Jamani mtu kama huyu ananichukulia kama mama huruma au bado anataka niendelee kumjali kwa kuwa mpenzi wake hamjali ivo au ni kitu gani?
Naombeni mnisaidie mawazo yenu.
Jamani mimi ni mwanamke ambaye nilikuwa na mpenzi wangu toka 2014 mpaka 2016 ambapo mwanzo tulipendana sana na kujaliana. Mwaka 2016 tuliachana tena aliniacha kwa kunichoka tu kwani hakuwa na sababu ya maana aliyonieleza.
Nililia na kupitia kipindi kigumu hadi kufikia kuwekwa chini na ndugu zake ili kunifariji kwani nilijulikana kwao.
Baada ya mapito hayo nilikaa sawa. Undugu kati yangu na ndugu zake haukukatika. Tulijuliana hali na kusaidiana.
Toka 2016 hadi sasa maisha yetu kati yangu na x yalikuwa ni anaweza kukaa mwezi pasipo kunitafuta but inatokea siku ananipigia na kunijulia hali.
Mwaka huu aliniomba msamaha na akanijulisha kuwa amepata girl wake wanayependana nae sana. Hivyo hataki tukae kwa ugomvi na tuendelee kusaidiana kila inapobidi.
Binafsi kusameheana ilikua ni nzuri kwangu lakini suala la ukaribu nae sikuona umuhimu wa kuwa karibu na x na ukizingatia huyo girl wake hajawahi kumuona zaidi ya kuongea nae kwa simu na wanaishi mikoa tofauti.
X niliamua kumchukulia kama rafiki wa kawaida na sio kumpa special care kama mwanzo. But kwa jinsi anavyotaka ni ile special care kwani anaweza kuniambia kitu cha ndani ambacho naamini anapaswa kumwambia girl wake.
Nimejaribu kumpuuza kila anaponitengenezea mazingira ya kumpa special care mfano kufanya nae maendeleo au akipata tatizo niwe wa kwanza kumjali kabla ya mtu yoyote.
Nimemuignore kwenye vitu vingi sana namjibu kama rafiki wa kawaida ambaye siku yoyote naweza nisiwe nae wala kumuona but ameninunia from no where.
Kuna mzigo wake alipaswa kuchukua toka kwangu ila hapokei simu wala kujibu msg.
Jamani mtu kama huyu ananichukulia kama mama huruma au bado anataka niendelee kumjali kwa kuwa mpenzi wake hamjali ivo au ni kitu gani?
Naombeni mnisaidie mawazo yenu.