X ameninunia!!!

Jambo lako dogo sana,kwavile unamawasiliano na ndugu zake,wewe wape ndugu zake mzigo wa ex wako,then wakatie Umeme na maji.
 
basi mpenzi, endelea tu na umbea wako unajua sipendi uwe hivyo darling
Hahahahhahahahahhahahahaaaaa umenfrahisha mno hahaa niendeleee na umbea wangu eh? Sjanuna huku menuna kule ulikoniacha, na hiyo avatar yako kama inaniambia nikupende tu at my own risk
 
Hahahahhahahahahhahahahaaaaa umenfrahisha mno hahaa niendeleee na umbea wangu eh? Sjanuna huku menuna kule ulikoniacha, na hiyo avatar yako kama inaniambia nikupende tu at my own risk
of course at your own risk

lakini niliomba uamshwe kwa yule uliyemtuma kule nimereply ile msg nasubiria feedback mpaka sasa
 
of course at your own risk

lakini niliomba uamshwe kwa yule uliyemtuma kule nimereply ile msg nasubiria feedback mpaka sasa
Hahahaha, ujumbe huo sjaupata mbona?? Nimeamka tayar
 
Move on binti, mwenzio yuko busy na mambo yake we unahisi amenuna, fikisha mzigo sehemu inayofikika na wewe kuwa busy na mambo yako, labda Kama una ajenda nyingine tofauti
 
....Jamaa anatengeneza mazingira ya kula mzigo wake wa kitambo....
 
Hata salamu yake mara moja moja hutaki ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…