X ameninunia!!!

Amegundua kua wewe ndio ulikua na upendi wa dhati kwake, thamani uliyokua unampa haipati huko aliko so bado anatamani ukaribu na wewe, angalia moyo wako wasemaje na yeye alivyo hata mkija rudiana mnaweza kuishi bila makwazo mengi, bila shaka unamjua vizuri, angalie tu asikutumie kwa manufaa yake sio ya wote
 
Hahahaaaaaa, hii inaitwa mbinu shirikishi mkuu.
 
Achana nae hana issue huyo, kwanini alikuacha akiwa bado anahitaji msaada kutoka kwako?
 
Tupe mrejesho mkuu. Ulifanya maamuzi kulingana na ushauri wetu au ulifanya kulingana unachokiamini? Jamaa anasumbua bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…