Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Ukiachana na mtu hakuna haja ya mawasiliano boss.
Hapo unajitafutia balaa tu!
Soma post #5 & 6.Balaa la nini Kiongozi?
Wewe mbususu haisuswi kamwe.....Ukiachana na mtu hakuna haja ya mawasiliano boss.
Hapo unajitafutia balaa tu!
Kwa sisi tunaonena ya rohoni hofu haipo kwenye Bioline na UPT etc...Nenda na UPT na Bioline HIV test
Fanya vipimo kabla ya chochote
Sisi maex wa kike tunakuwaga na kinyongo cha maisha
Nenda na UPT na Bioline HIV test
Fanya vipimo kabla ya chochote
Sisi maex wa kike tunakuwaga na kinyongo cha maisha
Unapenda ngono za kiajali?My Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe.
Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri
Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat.
Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na mambo mengine? Mimi nimemwambia tukutane kwenye restaurant sehemu ambayo haina rooms ili kuepuka vishawishi
Mbinu pekee ni kukaa mbali na vishawishi ikiwemo mawasiliano.wewe mbususu haisuswi kamwe.....
Nimekupenda bure yaan umeandika ukweliNenda na UPT na Bioline HIV test
Fanya vipimo kabla ya chochote
Sisi maex wa kike tunakuwaga na kinyongo cha maisha
Mbinu pekee ni kukaa mbali na vishawishi ikiwemo mawasiliano.
Imagine wewe your ex mnaongea nini yaani zaidi ya kukumbushiana na kuendeleza yasiyofaa (mnakua michepuko iliyokomaa)