ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,494
- 3,630
Punguza stress alafu relax usiabudu sana hayo mambo kama umeoa kaa na mkeo kwa kutulia.sasa kama mbususu yenyewe inataka kidume uendelee kuigegeda shida ipo wapi?
wewe bwana kuweka tumaini lako pekee kwa mke utakuja kujinyonga siku. labda kama umeoa bikra lakini sio hawa breki pumbu ndugu yangu.
sasa kama mbususu yenyewe inataka kidume uendelee kuigegeda shida ipo wapi?
wewe bwana kuweka tumaini lako pekee kwa mke utakuja kujinyonga siku. labda kama umeoa bikra lakini sio hawa breki pumbu ndugu yangu.
ah mbona kurelax unarelax tuu ukishajua kuwa mbusus ya mkeo inaweza sasambuliwa na njemba wengine wala hupati pressurePunguza stress alafu relax usiabudu sana hayo mambo kama umeoa kaa na mkeo kwa kutulia.
brake pumbu = no bikraDuuuu, break pumbu ndiyo nini tena
Kuachana sio Uadui, Kuwa huru kumshauri kutokana na uzoefu wako, tumia hekima sana kwani wanawake wana mihemko, unaweza ukashindwa kumpa jibu sahihi kwa kutoa taarifa zisizo sahihi ili kupata hurumaMy Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe.
Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri
Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat.
Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na mambo mengine? Mimi nimemwambia tukutane kwenye restaurant sehemu ambayo haina rooms ili kuepuka vishawishi
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mie hua siachani na Ex zangu tunapotezana tuu ila tukikutana ni kwichi kwenda mbele.
Nenda kaonane nae akikupa game piga mashine kama kawa.
Heshimu ndoa muage mkeo kwanzaMy Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe.
Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri
Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat.
Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na mambo mengine? Mimi nimemwambia tukutane kwenye restaurant sehemu ambayo haina rooms ili kuepuka vishawishi
Nyani kakumbuka pori lake.....My Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe.
Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri
Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat.
Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na mambo mengine? Mimi nimemwambia tukutane kwenye restaurant sehemu ambayo haina rooms ili kuepuka vishawishi
Msitutenge na sie jomoni.Nitakuwepo es lava pia nitakuwa counter nina rasta ulizia Masham Tajiri.mkeo anajua huo mualiko?....
hutaki ku-cheat sio?
sheitwan yupo bize kwenye simu zenu....wewe na EX wako....
heshimu ndoa yako....delete huo mualiko........kiporo hakichunguliwi....kipo ili kiliwe....ulikimwaga au ulikihifazi.....?..
tukutane kikao cha wanaume leo ijumaa.....es lava.....
My Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe. Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri.
Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat.
Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na mambo mengine? Mimi nimemwambia tukutane kwenye restaurant sehemu ambayo haina rooms ili kuepuka vishawishi.
Sasa mbona jibu unaloMy Ex kaniomba sana kesho tuonane tu spend muda wakutosha kwa gharama zake mwenyewe. Amesema yuko so much stressed with her love affairs hivyo anataka nimshauri.
Mimi kwa sasa nimeshaoa tangu tuachane four years back na sitaki kabisa mambo ya ku cheat.
Unahisi atakuwa anataka kuongea tu au na mambo mengine? Mimi nimemwambia tukutane kwenye restaurant sehemu ambayo haina rooms ili kuepuka vishawishi.
KumbeNenda na UPT na Bioline HIV test,ikiwezekana mpime na aina zote za hepatitis
Fanya vipimo kabla ya chochote
Sisi maex wa kike tunakuwaga na kinyongo cha maisha
hahahahahahaa......utasababisha bi mkubwa aanze kupepesa......huyo Masham Tajiri ndo nani???Msitutenge na sie jomoni.Nitakuwepo es lava pia nitakuwa counter nina rasta ulizia Masham Tajiri.