Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo baba, jamani PJ samahani kama sijakusalimu...ehe mambo vipi, waendeleaje na maisha babangu. Mimi nipo ndo kama hivi leo niko hewani...nikaona niwakumbusha waungwana kama tunaweza kupata hivyo vitu maana ndo mda wenyewe huu. au sio!UPO KWELI Penny?
Hata Salamu?
By ze way, asante kwa kuwakumbusha hawa wakuu!
Jamani za leo,
Napenda kuomba kama JF mnaweza kutuwekea x-mas carrolz tuweze burudika moja kwa moja thru hapa.
Natanguliza shukrani zangu kwa niaba ya wenzangu watakaopenda pendekezo langu.