Habari za muda huu wakuu?
Nahitaji kupata data za idadi ya watu wanaofanya x ray kwa mwaka, (hapa Tanzania/ worldwide, hospitali yoyote) kama kuna mwenye data kamili ningeshukuru zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.