Computer RAM Vs Computer ROM
- RAM kirufu chake ni Random Access Memory ,ROM kirefu chake ni Read Only Memory.
- RAM hii ni muhimu sana kwa sababu operation system, program zote na data hii ndiyo inahusika katika ufanyaji kazi wa hizo ,ROM yenyewe inaprogram ambayo hutumika pale computer inapowaka na pia inafanya uchunguz wa awali pale computer inapowaka kujua kama kuna shida au Iko poa.
- RAM hapa zile data za kwenye RAM zinaweza kuboreshwa,kubadilishwa au kufuta ,ROM hapa zile data za kwenye ROM ziko fixed yaan hauwez kuzifuta wala kuziboresha(read only memory).
- RAM yenyewe huifadhi kumbukumbu kwa muda mfupi wakati unatumia program fulani na ndiyo maana unashauriwa kusave isije potea pale computer inapozima ,ROM yenyewe ni huifadhi kumbukumbu za system na zipo fixed ( virtually indestructible ).
- RAM yenyewe hupoteza kumbukumbu pale umeme unapokata ,ROM huifadhi data hata wakat ambapo umeme umekatika.
- RAM hutumia nafasi kubwa sana hadi GB inafika kulingana na programs zinazofanya kazi muda huo ,ROM hapa haitumii nafasi yoyote kwa sababu ROM haitumiki kwenye hizo program zinazofanya kazi muda huo.
- RAM ni bei nafuu ,ROM ni ghali.
- RAM yenyewe ipo fast ,ROM memory yenyewe ipo extremely fast kuliko ROM.
- RAM aina zake ni dynamic RAM & static RAM ,ROM aina zake ni PROM (programmable read-only memory) like CD ROM, EPROM, (Erasable Programmable Read-only Memory) EEPROM.(Electrically Erasable Programmable Read-Only Memory) .
- RAM hapa chips zinazopatikana ni kama vile 2GB, 4GB, 8GB na kuendelea na kampuni zinazotengeneza ni kama vile Corsair, Kingston ,ROM mfano wa ROM ni cartridge za video game consoles na computer BIOS.
- RAM yenyewe huifadhi data zake kwa MBs ,ROM yenyewe huifadhi data zake kwa GBs.
View attachment 2105319