2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 520
- 1,498
Hii ndiyo my Summary ya ALICHOKISEMA Mke wa zamani wa Haji Manara leo na Press yake:
1. Sina mpango wa Kuolewa kwa sasa.
2. Sina Mahusiano na Harmonize, ni Rafiki Yangu tu,
3. Story zote za Dubai ni za uongo na zimetungwa.
4. Manara hana hela, anayo ya Kawaida Sana.
5. Sina ukaribu wowote na Diamond na wala siendi Mbezi kwake kama wanavyosema.
6. Sikumnyima Pafyum Manara, ni uwongo.
7. Sikuwa na Amani katika ndoa nikaona bora niondoke.
7. Nilikuwa napokea vipigo.
8. Sina Mahusiano yoyote kwa sasa, kama ninayo basi ni 50/50
9. Nikiamua Jambo Langu hakuna wa kunishauri sitarudi tena kwa Manara.
10. Nimepewa ubalozi wa miezi 3 wa nywele na Emish kwa sababu nina trend na Biashara yake inahitaji mtu anae trend kama mimi.
WADAU Mnasemaje Hapo?
1. Sina mpango wa Kuolewa kwa sasa.
2. Sina Mahusiano na Harmonize, ni Rafiki Yangu tu,
3. Story zote za Dubai ni za uongo na zimetungwa.
4. Manara hana hela, anayo ya Kawaida Sana.
5. Sina ukaribu wowote na Diamond na wala siendi Mbezi kwake kama wanavyosema.
6. Sikumnyima Pafyum Manara, ni uwongo.
7. Sikuwa na Amani katika ndoa nikaona bora niondoke.
7. Nilikuwa napokea vipigo.
8. Sina Mahusiano yoyote kwa sasa, kama ninayo basi ni 50/50
9. Nikiamua Jambo Langu hakuna wa kunishauri sitarudi tena kwa Manara.
10. Nimepewa ubalozi wa miezi 3 wa nywele na Emish kwa sababu nina trend na Biashara yake inahitaji mtu anae trend kama mimi.
WADAU Mnasemaje Hapo?