cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
In short hujui thamani yako na huyo mwanamke amekudharau na hakupendi. Unatumika kama mshumaa tu! Hebu tambua thamani yako bhana! Kata daraja songa mbele daima usigeuke nyuma!X wangu ananitumia kwenye matatizo yake!!!! Nikisha msolvia anaanza dharau,akiwa na shida ananiweka karibu!!!!!..... Kuna mda natamani kumkazia huruma inakuja namsaidia.
Sio huruma ndo mapenzX wangu ananitumia kwenye matatizo yake!!!! Nikisha msolvia anaanza dharau,akiwa na shida ananiweka karibu!!!!!..... Kuna mda natamani kumkazia huruma inakuja namsaidia.
Help a girl when she is in trouble, she will surely remember you when she is in trouble again.X wangu ananitumia kwenye matatizo yake!!!! Nikisha msolvia anaanza dharau,akiwa na shida ananiweka karibu!!!!!..... Kuna mda natamani kumkazia huruma inakuja namsaidia.
๐ ๐ ๐ ๐ ๐Hauna dem mwingine?
Demu mwingine amtoe wapi wakati hapo alipo anadhani kuna siku huyo x atamuonea huruma kwa anavyojitoa amrudie.Hauna dem mwingine?