X wangu anataka lazima ajibiwe ujumbe

X wangu anataka lazima ajibiwe ujumbe

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

X wangu nilibahatika kupata naye mtoto mmoja lakini tushaachana, mtoto anakaa na bibi yake, lakini huyu X wangu kila akituma ujumbe anataka nimjibu, nisipomjibu ananuna na 'I miss u' nyingi lakini yeye ana mke na watoto wawili.

Maswali yake sasa utasikia tu ananiuliza hujanikumbuka? 'Nikimblock' ananuna kwanini 'namblock' wakati tuna mtoto?

Mimi huwa simtafuti, kila siku anaanza yeye kunitumia ujumbe, mara nimekukumbuka mara natamani tuonane, tunaonana vipi wakati yeye ana familia mpya?

Ushauri wenu muhimu.
 
Kwa kauli yako unathibitisha ule msemo wetu wa wanaume kuwa "tusioe mwanamke mwenye mtoto" dada kwa hakika mahusiano ya sasa/ndoa yako kama ushafunga haiko salama. Unaruhusu vipi mazoea ya kijinga hayo, inaonyesha nawe pia unapenda akuzoee hivyo, ila tambua kuwa unajishusha utu wako na ex wako anakuona utampa tunda tena. Kuwa na msimamo ili uwe na mahusiano mazuri, awe anawasiliana na mama yako mwenye mtoto sio anakuzoea hivyo.
 
Kwa kauli yako unathibitisha ule msemo wetu wa wanaume kuwa "tusioe mwanamke mwenye mtoto" dada kwa hakika mahusiano ya sasa/ndoa yako kama ushafunga haiko salama. Unaruhusu vipi mazoea ya kijinga hayo, inaonyesha nawe pia unapenda akuzoee hivyo, ila tambua kuwa unajishusha utu wako na ex wako anakuona utampa tunda tena. Kuwa na msimamo ili uwe na mahusiano mazuri, awe anawasiliana na mama yako mwenye mtoto sio anakuzoea hivyo.
Mwanamke ndie mwenye tatizo hapa.kulingana na mwandiko lakini
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

X wangu nilibahatika kupata naye mtoto mmoja lakini tushaachana, mtoto anakaa na bibi yake, lakini huyu X wangu kila akituma ujumbe anataka nimjibu, nisipomjibu ananuna na 'I miss u' nyingi lakini yeye ana mke na watoto wawili.

Maswali yake sasa utasikia tu ananiuliza hujanikumbuka? 'Nikimblock' ananuna kwanini 'namblock' wakati tuna mtoto?

Mimi huwa simtafuti, kila siku anaanza yeye kunitumia ujumbe, mara nimekukumbuka mara natamani tuonane, tunaonana vipi wakati yeye ana familia mpya?

Ushauri wenu muhimu.
Mpe utamu bana acha kujibana bana
 
Back
Top Bottom