Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
KIUNGO wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Hispania Hernandez Xavi ambae pia ni miongoni mwa wachezaji walio pata mafaniki0 na klabu hio na timu ya Taifa hilo bado yupo kileleni, akishikiria rekodi ya kuichezea klabu hio mechi nyingi zaidi katika ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Xavi akiwa na klabu yake hio alioitumikia kwa nguvu zake zote na moyo wake wote, aliichezea jumla ya mechi 151 za ligi ya mabingwa barani Ulaya.
MORE ON...
Pamoja na kuondoka klabuni hapo, Xavi bado anashikiria rekodi ya Barcelona…
Xavi akiwa na klabu yake hio alioitumikia kwa nguvu zake zote na moyo wake wote, aliichezea jumla ya mechi 151 za ligi ya mabingwa barani Ulaya.
MORE ON...
Pamoja na kuondoka klabuni hapo, Xavi bado anashikiria rekodi ya Barcelona…