Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 846
- 521
Bei iko poa sana
Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and "online businesses". Nimeona humu jukwaani watu wakijaribu kuulizia na kutaka kufanya manunuzi ya vifaa...