Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

Chief Mkwawa ndiye atatusahihisha vizuri, maana ndiyo fani yake hii.

Mkuu Oppo toleo 2023 sina uhakika kama limeshatoka, japo mimi namiliki toleo la mwisho kabisa 2022.
Unamiliki oppo ipi? Vipi kuhusu ukaaji chaji, uzuri wa display, na kasi katika utumizi?
 
Shida ya xiaomi kwa miaka ya sasa amekuwa akitumia body specs moja kwa simu zake nyingi , hata ukinunua simu model mpya bado unakuwa kama unatumia model ya zamani, halafu kwa sasa zipo serious overpriced
Nilikuwa die hard fan wa xiaomi , ila nimeamua kurudi samsung, , swipe to dial.or sms ni.moja ya feature kali.
We naye acha uongo, Xiaomi sio overpriced
Kwa pesa yoyote ile, huwezi ukanunua Samsung kali ambayo inaizidi Xiaomi ya bei hiyohiyo
 
We naye acha uongo, Xiaomi sio overpriced
Kwa pesa yoyote ile, huwezi ukanunua Samsung kali ambayo inaizidi Xiaomi ya bei hiyohiyo
Mkuu unanikosea kuniita muongo kuwa muungwana kwa hoja
Nimeanza kutumia xiaomi remdmi 4, na ya.mwisho ilikuwa mwaka juzi, sijaacha model zote hadi ilipofika redmi 10, wapoanza kutumia android dialer na sms app ladha ikaanza kupungua na bei zikaanza kuwa si rafiki
Hii model ya 12s ultra ni bei sawa na iphone 14
 
Mkuu unanikosea kuniita muongo kuwa muungwana kwa hoja
Nimeanza kutumia xiaomi remdmi 4, na ya.mwisho ilikuwa mwaka juzi, sijaacha model zote hadi ilipofika redmi 10, wapoanza kutumia android dialer na sms app ladha ikaanza kupungua na bei zikaanza kuwa si rafiki
Hii model ya 12s ultra ni bei sawa na iphone 14
Kama ni bei sawa na iPhone 14 (plain) basi hapo iPhone ndio iko overpriced, maana hiyo iPhone 14 haimgusi hata kidogo Xiaomi 12S Ultra
Ila kama unaongelea iPhone 14 pro Max basi website zinaonesha kuwa iPhone 14 pro Max ni expensive sana, tena kuliko hiyo Xiaomi 12S Ultra
Screenshot_20221210-112526.jpg
Xiaomi is always cheap
 
Huyu ni Mdogo ake Infinix au Dada ake Techno
Hakuna Infinix wala TECNO inayotumia Snapdragon, Xiaomi Redmi 10C inatumia Snapdragon 680, storage yake ni UFS na inatumia USB Type C 2.0 na bado bei ni laki tatu. Hapo hujaziona Xiaomi za milioni 3. Hizi simu hazipo hata karibu na TECNO kabisa
 
Huyu ni Mdogo ake Infinix au Dada ake Techno
Hakuna TECNO wala Infinix inayotumia Snapdragon, zote ni MediaTek. Redmi 10C inatumia Snapdragon 680, storage yake ni UFS na inatumia USB Type C 2.0 charger na bado bei yake ni laki tatu. Hakuna hata Samsung yenye sifa hizi kwa laki tatu. Hapo bado hujaziona Xiaomi za mamilioni halafu wewe unasema ni dada wa Infinix au TECNO. Be serious
 
Hivi kati ya infinix, Tecno, Xiaomi, redmi na oppo simu zipi ni nzuri kwa kutumia na kwa ubora ( battery life na storage). Naombeni msaada wakuu, wakiutaalam zaidi nataka niingie dukani.

Nb; uwezo wangu 600k

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Wapi zinapatikana
AliExpress, around 2.8M
Bongo ni ngumu labda uagize Kenya. Hapa Tanzania sanasana utapata Xiaomi Mi 11 Ultra kwa 1.6M na nimeona Jiji app, Xiaomi 12S Ultra zinauzwa ila bei ni 3M wakati AliExpress ni 2.2M. Ila hiyo Xiaomi 13 Pro inapatikana AliExpress
 
Hivi kati ya infinix, Tecno, Xiaomi, redmi na oppo simu zipi ni nzuri kwa kutumia na kwa ubora ( battery life na storage). Naombeni msaada wakuu, wakiutaalam zaidi nataka niingie dukani.

Nb; uwezo wangu 600k

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo laki sita tayari imeshakuwa kuwa nyingi, usinunue Infinix wala TECNO
Tigoshop wanauza Xiaomi Redmi Note 10S ya 6GB RAM na 128GB storage kwa TSh 500,000/=
Na sio Tigoshop tu, Kariakoo zimejaa kibao na bei ni hiyohiyo laki 5, sehemu nyingi inafika hadi laki tano na nusu
Hii simu, hamna kuhofia suala la charge maana betri lake ni kubwa sana 5000mAh, hii simu utatumia asubuhi hadi giza linaingia imebaki 30%
Storage ndio hiyo 128GB na RAM kubwa tu 6GB na chipset strong ya MediaTek Helio G95, moja ya MediaTek kali kabisa, imefunika Snapdragon nyingi tu
Simu hii inaweza kurkodi 4K videos kitu hiki ukinunua brand nyingine kwa bei hiyo ni nadra kukipata na kamera yake ina 64MP na ni kali sana
Kioo chake ni super AMOLED na inafikia hadi 1100nits
Hii simu nenda google uiangalie mkuu utaipenda, kwa pesa hiyo ni ngumu kupata simu nzuri kama hii
 
Mkuu hiyo laki sita tayari imeshakuwa kuwa nyingi, usinunue Infinix wala TECNO
Tigoshop wanauza Xiaomi Redmi Note 10S ya 6GB RAM na 128GB storage kwa TSh 500,000/=
Na sio Tigoshop tu, Kariakoo zimejaa kibao na bei ni hiyohiyo laki 5, sehemu nyingi inafika hadi laki tano na nusu
Hii simu, hamna kuhofia suala la charge maana betri lake ni kubwa sana 5000mAh, hii simu utatumia asubuhi hadi giza linaingia imebaki 30%
Storage ndio hiyo 128GB na RAM kubwa tu 6GB na chipset strong ya MediaTek Helio G95, moja ya MediaTek kali kabisa, imefunika Snapdragon nyingi tu
Simu hii inaweza kurkodi 4K videos kitu hiki ukinunua brand nyingine kwa bei hiyo ni nadra kukipata na kamera yake ina 64MP na ni kali sana
Kioo chake ni super AMOLED na inafikia hadi 1100nits
Hii simu nenda google uiangalie mkuu utaipenda, kwa pesa hiyo ni ngumu kupata simu nzuri kama hii
Asante sana kwa ufafanuzi mkuu [emoji120]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom