Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

Kwasababu unatia chumvi nyingi mno na mahaba kuzidi kanakwamba wengine hatuzijui hizo simu,unavyoisifia hiyo MIUI wakati tunaijua haina hayo maajabu unayoyasifia!
Ninasifia Xiaomi wewe unasema MIUI
Anyway, maajabu gani nimeyataja au kuyasifia hapo juu unahisi hayapo[emoji848][emoji848]
Halafu kama ulitumia Xiaomi za bei rahisi, hususani hizi Redmi, basi usifikiri software yake itakuwa sawa na Xiaomi 12S Ultra hata kama zote zinatumia MIUI
Ila bado hizo hizo Redmi za bei rahisi ni simu bora kuliko simu nyingine nyingi za bei hiyo. Zinastahili sifa
 
Ninasifia Xiaomi wewe unasema MIUI
Anyway, maajabu gani nimeyataja au kuyasifia hapo juu unahisi hayapo[emoji848][emoji848]
Halafu kama ulitumia Xiaomi za bei rahisi, hususani hizi Redmi, basi usifikiri software yake itakuwa sawa na Xiaomi 12S Ultra hata kama zote zinatumia MIUI
Ila bado hizo hizo Redmi za bei rahisi ni simu bora kuliko simu nyingine nyingi za bei hiyo. Zinastahili sifa
Hazistahili hizo sifa unazozifia wewe kwakuzidisha chumvi.
Nimequote kwakujumuisha nyuzi zako nyingine zingine pia.
Wadanganye wengine wasiozitumia,ila kwa ambao tulishatumia aina zote za hiyo kampuni huwezi kutudanganya kiivyo
 
Hazistahili hizo sifa unazozifia wewe kwakuzidisha chumvi.
Nimequote kwakujumuisha nyuzi zako nyingine zingine pia.
Wadanganye wengine wasiozitumia,ila kwa ambao tulishatumia aina zote za hiyo kampuni huwezi kutudanganya kiivyo
Nimeshakuambia Xiaomi pia anazo simu zenye hadhi ya chini, Hata experience ya mtumiaji wa Samsung Galaxy A03 Core ni ya ovyo ukilinganisha na Samsung Galaxy S22 Ultra ingawa wote wanatumia Samsung
Kwa hiyo sikatai kuona ww una experience mbovu na Xiaomi. Kama mtu anatumia Redmi A1 Plus kamwe hawezi ujua utamu wa Xiaomi
Mimi nakutajia simu mbili za Xiaomi za laki tatu na nusu
  • Xiaomi Redmi 10C
  • Xiaomi Redmi 9
Nitajie simu nzuri za kampuni unayoijua wewe kwa hiyo bei, na ziwe kali kuliko hizo nilizokutajia. Labda tungeenda na mifano ili tuelewane
 
Hivi kati ya infinix, Tecno, Xiaomi, redmi na oppo simu zipi ni nzuri kwa kutumia na kwa ubora ( battery life na storage). Naombeni msaada wakuu, wakiutaalam zaidi nataka niingie dukani.

Nb; uwezo wangu 600k

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Katafute refurb ya samsung note 10, s10, iphone 8 n.k hizi simu ni balaa na nusu.
 
Kwasababu unatia chumvi nyingi mno na mahaba kuzidi kanakwamba wengine hatuzijui hizo simu,unavyoisifia hiyo MIUI wakati tunaijua haina hayo maajabu unayoyasifia!
Ukimsikilza jamaa anavyozipaisha hizo simu kuliko Samsung na Iphone utashangaa. Naonaga thread zake anasema samsung na iphone ni brands tu.
 
Hazistahili hizo sifa unazozifia wewe kwakuzidisha chumvi.
Nimequote kwakujumuisha nyuzi zako nyingine zingine pia.
Wadanganye wengine wasiozitumia,ila kwa ambao tulishatumia aina zote za hiyo kampuni huwezi kutudanganya kiivyo
Ni ukweli usiopingika, ukisoma nyuzi ana mahaba yalopitiliza kwa xiaomi utafikiri watu hatuzifahamu hizo simu.
 
Ukimsikilza jamaa anavyozipaisha hizo simu kuliko Samsung na Iphone utashangaa. Naonaga thread zake anasema samsung na iphone ni brands tu.
Mkuu unadanganya watu ili kutafuta support
Sijawahi kusema hayo maneno, hayo maneno ya uchochezi umeyataja wewe humu ndani, kwenye hii thread, sio mimi. Naomba niliweke hilo wazi
Pia, huwa nasifia Xiaomi kwa kuzishindanisha na latest phones za Samsung na Google Pixel, mfano nilivyofananisha Xiaomi 13 Pro na Samsung Galaxy S22 Ultra. Hapo huwa ninasema Xiaomi 13 Pro ndio kali, na huo ndio ukweli ila sijawahi shindanisha brand mimi, huwa ninashindanisha simu tu, basi.
Sijawahi kuconclude brand ipi ni bora, huwa ninajaribu tu kuwaonesha watu Xiaomi ilipofikia na kuzifunika simu latest za makampuni makubwa. Na hiyo iPhone uliyoitaja hapo sijawahi kuishindanisha na Xiaomi kwa sababu najua Xiaomi 13 Pro iko chini ukifananisha na iPhone 14 Pro Max, ila sio simu nyingine yoyote ya iPhone tofauti na hiyo.
Tatizo nyinyi kinachowauma ni kuona Xiaomi anatoa simu ambazo zinakuja kufunika simu za brand mnazozikubali, tena inawauma zaidi mnapoona mimi nakuja kuyatangaza haya mambo hapa jamvini.
Usijali, Samsung Galaxy S23 Ultra itatoka soon na itafunika karibia simu zote kwa sasa, ila Xiaomi 13S Ultra nayo inaweza ikatoka miezi ijayo na nina imani itaifunika S23 Ultra, na hilo likitokea usifikiri kama nitakaa kimya, lazima nije kutangaza humu ili iendelee kuwauma. Usifikiri ukitafuta support za watu humu basi mimi nitaacha kuja kutangaza mafanikio ya Xiaomi, never. Lazima nije kutangaza na mkiona najua itawauma ingawa si lengo langu kuumiza roho mashabiki wa simu nyingine[emoji38][emoji38]
 
Kisa mashindano ya ubora ambao ni subjective unaita wenzio Kenge.. ungetengeneza wewe hiyo simu hata JF ungeitukana
Cha msingi sikumtag mtu katika hiyo statement
Sasahivi nimetoa hilo neno "kenge" kwa sababu halizuii ujumbe kufika. Kama ni ustaarabu kulitoa hilo neno, basi nimeshalitoa. Sasahivi umebaki ujumbe niliotaka ufike, basi.
Thank you for telling me that[emoji120][emoji120]
 
Katafute refurb ya samsung note 10, s10, iphone 8 n.k hizi simu ni balaa na nusu.
Mkuu serious unamwambia anunue iPhone 8, kasimu kadogo vile, kana home button, display yake ni LCD, tena hakakai na chaji, kamera yake inazidiwa na midrange nyingi za sasa, sio full screen, halafu kama sikosei ni iOS 11 na sasahivi wenzake wapo iOS 16. Kumbuka iPhone 8 ukiupgrade kutoka ilipo hadi iOS 16 inakuwa slow, display inaanza kuwa less responsive, kamera inaanza kuzingua, battery ndio inazidi kupungua zaidi uwezo wake wa kutunza haji, hiyo simu ya 2017 haifai kabisa kwa matumizi ya 2023.
Halafu unamwambia anunue refurbished phones, unaijua risk yake wewe? Jamaa anataka simu inayokaa na chaji unamwambia anunue refurb za Samsung note 10 na S10, hizo simu kwa standard ya 2023 hazikai na chaji, tena ukijumlisha imekuwa refurbished, itabidi awe anatembea na powerbank. Akifuata huu ushauri atajuta aisee.
Bora anunue simu mpya tu kwenye boksi lake yaani simu ambayo haina mbambamba.
Simu bora zaidi kwa bei hiyo kwa hapa Bongo ni
* Xiaomi Redmi Note 10S
Lakini kwa kuwa mkuu unaichukia Xiaomi, basi ungemshauri hata anunue
* Samsung Galaxy A32 mpya kabisa kwenye boksi lake
Ingawa Redmi Note 10S ndio bora zaidi, kwanza inaweza kurekodi 4K videos wakati A32 inaishia 1080p, Redmi Note 10S inatumia chipset ya MediaTek Helio G95 wakati Galaxy A32 inatumia MediaTek Helio G80 ambayo ni dhaifu kulio ya G95. Redmi Note 10S inatumia Bluetooth version 5.1 wakati A32 inatumia version 5.0. Redmi Note 10S display yake inafika hadi 1100nits hiyo Galaxy A32 inaishia 814nits, Redmi Note 10S inatumia 33W fast charger wakati Galaxy A32 inatumia 15W na bado Redmi ni cheap ukicompare na Samsung
Zote zina Android 11, 5000mAh battery, AMOLED display, 64MP rear cameras na mambo mengine huko, siwezi yataja yote
Hapo anunue simu mpya ili aenjoy recent Android version, kioo kikubwa, muonekano wa kisasa, usalama wa 100% na aepuke kuwa outdated. Usitake kumrudisha nyuma mkuu. Simu hapo ni
  • Xiaomi Redmi Note 10S
  • Samsung Galaxy A32
Tena anunue Redmi kama anataka simu bora zaidi tena kwa bei iliyotulia au anunue Samsung kama tu anaangali brand ila asinunue hizo refurbished ulizomtajia[emoji41][emoji41]
 
Nauliza swali yangu inakuwa inajitapatapaapps zake mara hii arrow ya pembeni shidaninj
 
Hata Samsung anaanza kukaa tafuta Xiaomi 12 utra anaikasha Samsung utra na Google pixel 7 sio YouTube live nilikuwa na mwana pale mwenge wanatest league

Pixel 7 pro ndo mshindani kidogo WA mi kwenye picture kidogo mno 🤌
Mkuu Redmi/ xiaomi ipi ina camera kali? Bajeti laki 5 kuagiza aliexpress
 
Back
Top Bottom