Ya Argentina yanatimia kwa TISS?

Ni Vema tukaanza upya vyote.
Kufutilia mbali mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Kufutilia mbali NGOs zote.
Kufutilia mbali mitandao ya kijamii.
Kufutilia mbali misaada/hisani na mikopo kutoka nje.
Kuunda upya TISS.
 
Yerico achana na usiyoyajua,fanya kile kinachokupelekea mkono wako uingie kinywani huna ushahidi na hata moja uliloliandika hapa zaid ya kusoma kwenye vitàbu,na mitandao mosi ,pili angaika na kesi iliyopo mahakamani kwanza hata wananchi tumekuchoka kwa huu utumbo wako unaondika ukiwa umeshiba makande.
 
Wananchi gani waliomchoka?!

Usipende kusemea watu wengine
 
Nasikia hii story imo kwenye kitabu cha ujasusi Wa kidola , bei Tsh 80,000
 
Hahaaa!!

Mbona huwa mnapenda kudanganyana? Wewe YERICKO unajua chochote kuhusu Tiss? Usiwaaminishe watu na kuwajaza ujinga, Nina wasiwasi na vitabu vyako unavyojitungia kuhusu mambo ya kiusalama.

Kwa hiyo na wewe unaamini kuwa mauaji yanayotokea nchini yanatekelezwa na Tiss? Kama ni hivyo unawezaje kuamini jambo usilothibitisha mwenyewe badala yake unatumia cumulative doubts kuihukumu Tiss?

Nimeshadharau na uko shallow sana mkuu,
Kingine nakuomba usitumie Jamiiforum kutafuta sifa kwa jina la idara nyeti hii ya taifa letu,
Je ukiitwa unaweza kulinda hoja zako?

Umeshawahi kuwaona wakuu wa idara hii wakikanusha hizi tuhuma mnazowapaka hadharani ama kwenye media?
Jiongeze, stop that tender of messing, otherwise the deed will retaliate your myths!!
 
Kwanza nikusihi kabla hujajibu hoja yoyote katika andiko langu yakupasa kwanza usome vizuri na kuelewa, ikiwa hujaelewa pita tu kuwa msomaji na mtazamaji tu....

Maandishi yangu hayasemi TISS vile unavyofikiri, jipe muda wa kusoma kwakutulia na kuacha mihemko ya kisiasa...
 
USALAMA WA TAIFA WAMEWAVULIA NGUO CCM .........KINACHOENDELEA KILA MTU ANAJUA.
 
Acha kukwepa hoja kijana.
 
Ujuaji mwingi unamtesa Mkuu acha aendelee kuchamba kwingi mwishowe tutauona
 
Huu Uzi ni uchuro.

Bora nirudi zangu Wellington kula lunch.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…