ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
- Thread starter
- #21
Suala la feisal litaumbua wengiMsuva Makambo walisuguana n nani?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala la feisal litaumbua wengiMsuva Makambo walisuguana n nani?
Aligoma kuongeza mkataba ila hakugomea mazoezi.Mkataba uliisha, aligoma kuongeza. Taja mwingine
Ongezea na Nonda Shaban alifika mpaka Monaco akawa kwenye first eleven iliyofika fainal UEFA na Porto.Nani alishawahi kuondoka Yanga bila mikwaruzano. Roho za kichawi tu
Sasa kama mnalijua hilo,kwanini mnatumia nguvu kubwa kutaka kumharibia Career yake?Ngoja tuone hiyo jeuri yake itaishia wapi. Maana Yanga itaendelea kufanya vizuri, hata asipokuwepo.
Kwa hiyo unataka kutoa ujumbe gani?Kwani lazima kua na mausiano mazuri na Yanga
Onyango ni Mkenya, siyo mzawa, halafu ni mtu mzima anajielewa.Onyango ana elimu gani kuubwa ya kumfanya aone Mambo Kwa jicho nyoofu? Alipoona anawekwa benchi na inatishia kiwango chake akachukua hatua sitahiki. Mashabiki uchwara walioko JF ndio washauri wa Feisal wanaomjaza maneno eti Yanga Wana roho mbaya. Hata Msomi wa sheria kiwango cha cheti hawezi kumshauri mfanyakazi aache kazi Kwa effective cause Kwa kupeleka mshahara wa mwezi mmoja kwenye akaunti ya mwajiri halafu yeye analala mbele. Mkataba wa kazi ni wa pande mbili na unatakiwa uzibebe pande zote. Unapoacha kazi lazima umpe mwajiri wako kupata mbadala wako, vinginevyo unajidanganya na utashitakiwa Kwa utoro kazini.
Yanga wanapambania haki yao....ujue mazingira Kama haya yatatoa taswira ya baadae na wengine waige kwa feisal.....ikiwa feisal ataachiwa kirahisi Kama mnavyotaka atakuja mwingine atatumia mwanya huo...kiufupi hapa feisal kakosea lzm aadabishwe ili wengine wasiige uhuni huu.....na pia hata cas hawatampa ushindi feisal maana wachezaji watavunja mikataba Kila kukicha wakitumia reference ya kesi ya Fei.........hapa klabu zitakosa meno ya kuwazuia wachezaji kuvunja mikataba kienyeji......Sasa kama mnalijua hilo,kwanini mnatumia nguvu kubwa kutaka kumharibia Career yake?
Anayemharibia hiyo career yake, ni yule aliyemjaza upepo, na kumpa hela za kuuvunja huo mkataba wake, kinyume na utaritibu.Sasa kama mnalijua hilo,kwanini mnatumia nguvu kubwa kutaka kumharibia Career yake?
Naona unahara dada mangeNani alishawahi kuondoka Yanga bila mikwaruzano. Roho za kichawi tu