Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Habari zenu wakuu, hivi zile simu za zamani bado zipo madukani kweli? kama zipo kwa dar zipo maeneo gani? na pia bado wanazalisha au ndio viwanda vimekufa kabisa?
kama kuna mtu anafahamu tafadhari aeleze duka gani ili nikavamie
nilijaribu kuagiza online, lakini mara nyingi vibovu vinakuja na kasoro pia havidumu sana, nikikaa navyo sanaa, mwezi au miezi mitatu minne vinasumbua
simu hizo kama Nokia, sony ericson, lg, sumsung siemense nk
nimeambatanisha na picha,
nawasilisha,,,,,,
kama kuna mtu anafahamu tafadhari aeleze duka gani ili nikavamie
nilijaribu kuagiza online, lakini mara nyingi vibovu vinakuja na kasoro pia havidumu sana, nikikaa navyo sanaa, mwezi au miezi mitatu minne vinasumbua
simu hizo kama Nokia, sony ericson, lg, sumsung siemense nk
nimeambatanisha na picha,
nawasilisha,,,,,,